ha ha ha watatuua jaman hivi vibabu visivyotaka kuzeeekaa#vyumavimekaza#Hahahahaaaa... Ukiwajua hawa watu code inakua rahisi kuijua. Mke nasikia alimkimbia siku nyingi. Nani angeweza zile scandal yarab. Yule ukimchekea anakutafuna unajiona. Na anavyovutia plus zile hela ndo tunamaliziwa hapo.
Jaman nimekumc madame, usinifanyie hivoHuyu Msando si kaoa jamani? Uchafu gani huu?
Kiukweli hapa tu ndipo huwa nshindwa kuwaelewa wanawake wenzangu. Mwanaume pamoja na uchafu huu bado atakuwa proud nae! Dah
Na mtoto atakengeuka ikiwa tu huko shule anataniwa hivyo na nyumbani akirudi anakuta baba na mama minuno inatembea.. Ila akirudi nyumbani na kukuta hali ni ile ile ya upendo wa siku zote hapo hakuna baya lolote kwa mtoto..aisee tena asikwambie mtu.
mie nasomesha mojawapo ya izo shule watt wanavyovipitia ni zaidi ya uvijuavyo wewe.
ni neema tu Mungu imsaidie.
je mkewe akienda sokoni salumi kazini uwiiiiii
uzuri wote ule bado mume anafanya haya jamani watu wanakufuru acheni matani
Jamaa ana ka-ushamba flani hivi kamegoma kufutika.Siwezi kumu underestimate hata kidogo msomi na mwenye hela zake.....lakini kuhangaika na akina gigymoney hakuendani na status yake.
I rest my case... At most umeamua kutokuwa mnafki na kuelezea hali halisi zilivyo..Umeongea ukweli mchungu, japo tutakupinga. Bora hata huyu na msamaha kaomba mwingine hata msamaha haombi na mke haondoki ng'oooo. Wengi wetu as long ninakula, ninavaa, nina pa kulala, watoto wanasoma vizuri basi mume fanya tu utakalo, me sikuachi labda unifukuze mwenyewe[emoji35] . Tena mume mwenyewe ndo anakupa life kama msando, wengi wasingeondoka + kuolewa kulivyo heshima hivi, mbona hatoki mtu, bado tuna msemo wetu "wanaume wenyewe wote wapo hivyo hivyo, utaacha wangapi? [emoji78] [emoji78] . Na tulivyojikatia tamaa sasa "me afanye tu ila nisijue", sasa kama yanayofanyika huko gizani ndo kama haya, aisee hata usipotaka kuyajua, utayajua tu kupitia afya yako. Mungu atusaidie
Nenda ista kuna page inaitwa uduku note imeandikwa udaku kwa maandishi mekundu utaikuta...Hapa hapa celebrities ipo, cheki thread inayohusu
ivi naomba kuuliza nani alimrekodi?Dah!! Kweli alifanya mambo sio poa ila ameomba samahani
Mungu alituumba sote kwa kusudi moja tu, tumjue, tumpende na tumtumikie, sasa wengi wetu kipengele cha kumtumikia ndio kinakuwa kigumu kwa kupumbazwa na ulimwengu ila kama kweli msando ni mume wa Jack kwa kusudi lake Mungu basi ipo siku tu atabadilika ila kama si wa kwake hata tukiombaje ndoa itavunjika tu, maana wengi huoa/kuolewa kwa tamaa za mwili, wengi nda zina mateso lakini hili tusimlaumu tu shetani tukubali kuomba kwa kumaanisha tupate yule alie halali yetu bial kuangalia ana fanana vipi.muda mwingine bhana shetani huwa anajua sana kutufanya tutoke kwenye kusudi la Mungu.
Mungu hakumuumba Betho awe mwanaume malaya aisiye hsshimu ndoa yake, wala Gigy money hakuumbwa ili awe kahaba wa kila mtu kumdhalilisha na mapicha ya ngono.
ila sasa shetani ameshateka nyavu zake na amewafunga watu macho kiasi kwamba hawaoni mbele walikokusudiwa. Kwan yeye Mungu alimfanya Jack aolewe na Betho kisa hela na mali? mbona sasa amewapa baraka ya mtoto? ukichunguza kwa makini utajua kwamba kipo zaidi ya hapo na Mungu anataka hawa walione hilo.
huyo shetani aliyekamata fahamu zao na aziachie sasa aruhusu wamtumikie Mungu.
mple tu kwenye hesabu za logic kama siyo mimi ni wewe au yule aliye rekodi kwahiyo wajikumbuke walikua wangapiivi naomba kuuliza nani alimrekodi?
Kwenda kujipumzisha mbali ni healthy kwa wote wawili.. Sio outing kama outing, wote wanapitia kipindi kigumu sana kwenda Vacation kutasaidia kufuta hizo bad memories. Hata Mandela alivyoachana na Winnie alikuja kutembea mbugani Tanzania..huu sio muda wa huyu dada kuongopewa na outing akajua hali imebadilika.
.........tell you this, roho ya ukahaba ikiwemo ndani kwenu huizimi kwa outing as outing ni sehem ya kuitii ile roho ya ukahaba. suluhisho pekee Jack anatakiwa sasa aanze kusali tena si kwa masihara, ahakikishe anatubu adi Mungu anaikubali toba yake, kisha amuombe aachilie neema ya wokovu kwenye ndoa yake.
jamani mume kutoka nje kunauma msisikie hakuna kitu kitakachopoza hayo hata ufanyeje
Dah!! Hapo sijajua mkuu kwamba ni nani alimrekodi ila nahisi walikuwa wamelewaivi naomba kuuliza nani alimrekodi?
Nenda ista kuna page inaitwa uduku imeandikwa kwa rang nyekundu utaikuta..Mwenye link ya iyo video naiomba
Nimekuelewa vizuri sana, na najua Jack akisimama na Mungu, kila kitu kitafanyika kuwa kipya kwenye ndoa yao. Ila swali langu ni moja tu, yeye msando muda huu awe anafanya nini while mke yupo busy na kuomba? Siongelei haki sawa maana naelewa ndoa nyingi zinashikiliwa na wake, mke akisema basi na ndoa basi + huwezi kushindana na mpumbavu. Nachomaanisha ni hiki, yeye msando hana cha kufanya kuirudisha ndoa yake kwenye mstari? Hasikii aibu wala kuumia anavyoidhalilisha familia yake?huu sio muda wa huyu dada kuongopewa na outing akajua hali imebadilika.
.........tell you this, roho ya ukahaba ikiwemo ndani kwenu huizimi kwa outing as outing ni sehem ya kuitii ile roho ya ukahaba. suluhisho pekee Jack anatakiwa sasa aanze kusali tena si kwa masihara, ahakikishe anatubu adi Mungu anaikubali toba yake, kisha amuombe aachilie neema ya wokovu kwenye ndoa yake.
jamani mume kutoka nje kunauma msisikie hakuna kitu kitakachopoza hayo hata ufanyeje
ila aisee sisi wazazi tunakuwaga selfish sana.Na mtoto atakengeuka ikiwa tu huko shule anataniwa hivyo na nyumbani akirudi anakuta baba na mama minuno inatembea.. Ila akirudi nyumbani na kukuta hali ni ile ile ya upendo wa siku zote hapo hakuna baya lolote kwa mtoto..
Ahahah...
Wasalimie huko. Wanawake wengi ni "afanye tu ila me nisijue, aniheshimu tu", teh tunaogopa vivuli vyetu. Na sijui ni heshima gani tunayoitakaI rest my case... At most umeamua kutokuwa mnafki na kuelezea hali halisi zilivyo..