concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 3,379
- 6,624
Nitafurahia sera ya kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja kama itakuwepoWatanzania wachache tunapenda masuala haya, wengi tupo na mada za kina TL na Mbowe pamoja na utekaji unaendelea. Kina Mdude Nyagali wapo midomoni mwa wengi wetu kuliko masuala chanya ya kiuchumi. Tupo kisharishari zaidi.
Hoja ya kipuuzi
Deng xiaoping etiii ? FoolishMkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye thamani ya $7.7 bln Kwa mwaka 2024.
Bwana Teri amesema Hilo ni ongezeko la zaidi ya mara 3 kutoka Shilingi Trilioni 5( $2b) mwaka 2022 Hadi Trilioni 20 ($7.7b) mwaka 2024.
Pia soma Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.
Bwana Teri amefananisha ukuaji huu wa Uchumi na kipindi Cha Uongozi wa Rais Deng ambae anajulikana kama baba wa Uchumi wa China Mpya kwani mnamo mwaka 1992 ,China chini ya Deng Xiaoping ikipata ongezeko kubwa la uwekezaji na ujuaji wa Uchumi wa zaidi ya mara 3.ππ
View attachment 3173770
View: https://x.com/GileadTeri/status/1866403360321978739?t=g3VX64W0GI9jcAz_8YL3jw&s=19
My Take: Hakika Samia ndio Deng Xiaoping wa Tanzania na amekuwa rafiki mkubwa wa biashara na uwekezaji.
Tunampa maua yake angalia hai na anaona.ππ
Ungeanza zitaja walau nasisi wengine tusiozijua tuanze kuzijuaNitafurahia sera ya kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja kama itakuwepo
Kwani ukisema foolish ndio utafuta hizo takwimu? ππDeng xiaoping etiii ? Foolish
Unaongea ujinga hivi hata Deng Xiaoping mwenyewe unamjua au unajiropokea tuKwani ukisema foolish ndio utafuta hizo takwimu? ππ
Nakujua wewe ropo ropo wa ChadomoUnaongea ujinga hivi hata Deng Xiaoping mwenyewe unamjua au unajiropokea tu
π€£ π€£ π€£Utashangaa CHADEMA wananuna na kuona wivu.Maana wao wana roho mbaya sana wale jamaa na kuombea mabaya tu kwa Taifa letu.
Huna akili.Nakujua wewe ropo ropo wa Chadomo
Wewe unazo?Huna akili.
Huyo Gerald Teri, dish lirakuwa limeyumba:Watanzania wachache tunapenda masuala haya, wengi tupo na mada za kina TL na Mbowe pamoja na utekaji unaendelea. Kina Mdude Nyagali wapo midomoni mwa wengi wetu kuliko masuala chanya ya kiuchumi. Tupo kisharishari zaidi.
Mfanyabiashara maarufu na mwenye uzoefu wa uwekezaji Rostam anasema hakuna nchi iliyoendelea kwa kutumia wawekezaji wa nje. Mtaalamu wa theory za uchumi anaiona Tanzania ikikuwa kwa kutumia wawekezaji wa nje. Hapo sasa!Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye thamani ya $7.7 bln Kwa mwaka 2024.
Bwana Teri amesema Hilo ni ongezeko la zaidi ya mara 3 kutoka Shilingi Trilioni 5( $2b) mwaka 2022 Hadi Trilioni 20 ($7.7b) mwaka 2024.
Pia soma Bajeti ya Serikali mwaka 2025/26 Itakuwa Trilioni 55.03. Sawa na ongezeko la Trilioni 20 Ndani ya miaka 4*1/2 ya Rais Samia.
Bwana Teri amefananisha ukuaji huu wa Uchumi na kipindi Cha Uongozi wa Rais Deng ambae anajulikana kama baba wa Uchumi wa China Mpya kwani mnamo mwaka 1992 ,China chini ya Deng Xiaoping ikipata ongezeko kubwa la uwekezaji na ujuaji wa Uchumi wa zaidi ya mara 3.ππ
View attachment 3173770
View: https://x.com/GileadTeri/status/1866403360321978739?t=g3VX64W0GI9jcAz_8YL3jw&s=19
My Take: Hakika Samia ndio Deng Xiaoping wa Tanzania na amekuwa rafiki mkubwa wa biashara na uwekezaji.
Tunampa maua yake angalia hai na anaona.ππ
Wewe ndio dishi likeyumba na unahangaishwa na mihemko ya chuki.Huyo Gerald Teri, dish lirakuwa limeyumba:
Yaani unalinganisha uwekezaji wa nje (FDI) wa Tanzania wa dola bilioni 7, na uwekezaji wa makampuni ya kigeni nchini china wa dola bilioni 90 kwa mwaka!! Lazima uwe mgonjwa. Ni sawa na muuzaji wa nyanya, ambaye mwakajana aliuza nyanya akapata shilingi milioni 1, halafu mwaka huu akapata shilingi milioni 3, halafu aseme anafanana na mauzo ya Bakhresa, kwa vile tu mauzo ya Bakhresa mwaka uliopita yalikuwa shilingi bilioni 100, na mwaka huu yamekuwa bilioni 300.
Uwekezaji mkubwa ni WA ndani na sio hao wa Nje.Mfanyabiashara maarufu na mwenye uzoefu wa uwekezaji Rostam anasema hakuna nchi iliyoendelea kwa kutumia wawekezaji wa nje. Mtaalamu wa theory za uchumi anaiona Tanzania ikikuwa kwa kutumia wawekezaji wa nje. Hapo sasa!
SafiChawa wa Serikali, EPC+F Vipi?
Najua hodari wa kulisha unafikiri mazuzu matango pori na ujua uhodari wako katika hilo.Una uhakika au umelishwa matangopori na Rostam?