Tetesi: Giza kuu la NASA na dalili ya kiama kwa utabiri wa Mtume (s.a.w)

Isipotokea inabidi huyo bwana aliyetabiri tumfananishe na TB Joshua kwa Hillary Clinton
 
Reactions: PNC
Mnanichanganya sijaelewa kabisa manene ya mtume ni kuntu sahihi kabisa swali kwa mto mada hao NASA wamesema lini tukio hilo litatokea habari IPO nusu nusu vipi?
 
Hakuna aijuae siku wala saa ya yule atakaekuja, Hata malaika Wa mbunguni hawaijui
 
Reactions: PNC

Kwa namna nilivyoisoma hii habari hususani hiyo iliyoandikwa kwa kiingereza inaonyesha kuwa NASA wameikanusha habari ya kuwepo hali ya giza kwa siku 3 hadi 15 ila wanadai kitakachotokea ni kwamba kutakuwa na vimondo vingi vinaruka angani ambapo wanadai kuwa vimondo 15 vitakuwa vinapita angani kwa kila baada ya lisaa.
 
ifike mahali tuwaze zaidi ya akili za kuku.. hhili la nasa ni kama itabiriwa mayan calendar na john milla na baadae rice
 
Achana na habari za mwezi kuonekana kwa ukaribu ambalo ni tukio la jion ya leo, hii ni habari tofauti kabisa
Acha kuamini vitu viitwavyo "Hoax" ni uwongo mtu, hakuna cha giza wala cha dalili za kiama, msitafute kiki
 

Nguruwe
 
naomba nifafaunue kuhusu dajari kama mtaamini lakin pia kwa mm ninavoona maana quran ni kama mafumbo au inatumia lugha ngumu..naomba kuwambia mm ninavohisi huyu dajar ni mkuu wa freemasons ambae ni lucifer kwa picha tunayogaiwa na watoa habar au makala au kupitia symbols zao inaonesha dajar ana jicho moja pia anamapembe so hv hv atakujabaadae kujitokeza baada ya wazungu wakishawateka watu kwa kuwaweka cheap nd ataanza kupita kila sehem kujinad yeye ni mung ndiyo hapo sisi tutakuwa tayar tumeshakufa iiman na ndo utakuwa mwisho wa dunia...hapo ni kwa ufupi tu ila ntaleta uzi kuwafumbua watu macho.
 
Vipi Mtume alisema itakuwa lini? Hakuna aijuaye siku wala saa!! Hoax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…