Glasgow, Scotland: Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson

Uingereza ni nchi maskini tuu kinachowaweka mjini ni colonial legacy na koloni zao mbili hapa afrika kenya na bostwana
 
Balozi na waziri wa mambo ya nje ndio kazi yake mbona huyo boris hakuwepo kamtuma muwakilishi.. wewe unasumbuliwa na ugonjwa wa ushamba wa mzungu
Leo ndiyo kwanza tarehe moja Mkuu, kuna picha inakuja kesho, hivi kwanini mnaiombea mabaya nchi yenu Mkuu, Rais wenu kupiga picha na Boris inawauma sana?
 
Punguza uoga na wasiwasi mkuu.
 
Balozi na waziri wa mambo ya nje ndio kazi yake mbona huyo boris hakuwepo kamtuma muwakilishi.. wewe unasumbuliwa na ugonjwa wa ushamba wa mzungu
Hakuna ugonjwa huo mkuu kama nafsi yako haina makandokando ya majivuno na jeuri isiyo na msingi.
 
R
Kuna Rais hapa Tanzania aliisha wahi kutana na Marais wote wa dunia,lakini nchi ndio ilizidi kuwa masikini, Sembuse huyu anayekutana na wawakilishi? Tanzania tukiondokana na akili tegemezi ndipo tutasonga.
 
Aache uongo lini tumefanya biashara na Uingereza

Hivi hujui kuwa Baba yenu Nyerere alipinduliwa mwakar 1964? Waliomrudisha madarakani ni jeshi la waingereza?

Kulipa fadhila ile almasi ya Mwadui ikaenda arijojo kwa bwana pamoja Na green light ya kuivamia Zanzibar
 
R

Kuna Rais hapa Tanzania aliisha wahi kutana na Marais wote wa dunia,lakini nchi ndio ilizidi kuwa masikini, Sembuse huyu anayekutana na wawakilishi? Tanzania tukiondokana na akili tegemezi ndipo tutasonga.
Mama hataki dhuluma, and TZ siyo kijiji mjomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…