Godbless Lema aazimia kuondoa kazi za Diamond YouTube/Facebook

Na ili MSANII aonekane anatetea Haki.
ANATAKIWA awe chama gani ndo aonekane ana tetea Haki?
Na kama kosa NI kuwa NI CCM
Sisi wenyewe tuna ndugu wangapi ambao NI wapenzi,wanachama , mashabiki WA CCM
Nao ndugu zetu hawatetei Haki?.
Mimi babu yangu CCM,Bibi yangu CCM,mama yangu CCM,
Baba yangu NCCR MAGEUZI.
Hata mm hapa ndio nashangaa, Harmonize, Nandy, Kiba mbona hawaguswi. Au kwa kuwa hawana ushawishi sana kama Domo.
 
CHADEMA wana viongizi wa hovyo sana yaani...
Msingi mkuu wa chama cha siasa ni ajenda......

Ajenda ya chama ndio inayounganisha wanachama na wapenzi wa chama......

Ajenda ndio inayowapa wananchi picha ya kile wanachokitarajia baada ya kuchoshwa chama kilichopo madarakani.......

Ajenda ndio zinazalisha sera na mipango ya kufika malengo ya chama.......

Chama kinapotoka nje ya ajenda ambao ndio msingi na mtaji wa chama cha siasa ni wazi kuwa hicho chama kinaelekea kupoteza uelekeo

Kimsingi inafahamika kuwa CHADEMA ni wapigania haki na uhuru wa kutoa maoni kama kinavyojitanabaisha miongoni mwa wapenda haki......lakini lazima watambue kuwa haki na uhuru havipo kwa ajili ya wana CHADEMA pekee bali kwa kila mtu mwenye utashi wa kuamua......kitendo hichi cha kumkomalia msanii mmoja kati ya wale wengi kinaweza kutafsriwa kuwa wana ajenda nyingine nje ya kile tunachoamini wanakipigania......
 
Hana haki ya kujihusisha na dikteta. Issue siyo kuwa mwanaccm issue ni kuunga mkono utawala uliokuwa kandamizi Tanzania.
 
Hilo haliwezekani hata kidogo, hata lile swala la BET wanajitekenya tu. Hakuna Msanii anaeweza kuondolewa kazi zake kwenye platforms kwa makosa yasiyothibitika, unless awe alihusika yeye mwenyewe moja kwa moja.

Yani ufungue kesi ya diamond kuside na chama fulani cha siasa, tangu lini mtu akaingiliwa katika preferences zake? Anataka ampangie diamond chama cha kukipa support? Sio kizembe hivyo,watafute makosa ya diamond yanayoweza kuthibitika kisheria na yasiwe ya kisiasa.

Hawa CDM wamekosa cha kuzungumzia kule twitter baada ya aliekuwa anawapa misemo kufariki, kwakua wamezoea kittens wameoma watafute kisababu kisichokuwa na msingi Ili watulie nyota ya dogo kutrend.Yani CHADEMA ni wa kutumia wiki nzima kumjadili diamond,who is diamond?[emoji23][emoji23][emoji23]

CHADEMA wote wanatabia za kipunga tu,na vizazi vyao vyote ni vya kipunga tu.
 
Kuwa mwanaCcm haikufanyi ushindwe kupinga udhalimu. Hiki kitu naona wengi hamuelewi.
Bado hauwezi kumpangia mtu kitu cha kumsupport au kupinga. Wewe umefanya nini katika harakati za kuupinga huo udhalimu? Au ndo walewale mbwa mnaobweka nyuma ya keyboard na kuandika hashtags mitandaoni, mkiambiwa mjitokeze mnaanza kujinyenyea.

Kinachowasumbua ni wivu wa maisha tu, na ukweli ni kwamba diamond ni mkubwa kuliko hata hiyo CHADEME ndomaana tangu mmeanza hizi vurugu zenu, dogo katulia tu.
 
Nilichokiandika ni kikubwa sana kwa uelewa wako.
 
Ungeandika bila neno chadema ungeonekana una maana! ILA kwa sababu unetanguliza ujinga na akiIi unaitumia tu kutafuta herufi za kutype na Sio kuwa unachotype haya ndo madhara yake
Ni mjinga pekee ndiye atakaeacha kuihusisha CHADEMA juu ya huu upumbavu ilihali viongozi wake ndio wamekuwa mstari wa mbele katika hii kampeni uchwara.
 
Acha uongo wewe, Kanye West alikuwa upande wa Trump na hakuna dalili zozote za career yake kufa. Tokeni mpambanie haki zenu na sio kulialia upambanaji kutoka kwa mwanaume mmoja. Nyinyi mjifiche kwa fake IDs alafu mtegee diamond ajitokeze? Mdude yuko wapi?
 
Huyu lema mbona ameanza kuwa mjinga mjinga..
Viongozi wa CDM tabia za kipumbavu mnaanza kuzitoa wapi au ni njaa?

Watanzania tunahitaji utawala bora unaoleta maendeleo kwa taifa kupitia hawa viongozi, sasa kwa ujinga wa viongozi cdm kubase kwa wasanii huko ni kutufanya wtz mafala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…