Godbless Lema aazimia kuondoa kazi za Diamond YouTube/Facebook

Godbless Lema aazimia kuondoa kazi za Diamond YouTube/Facebook

Acha uongo wewe, Kanye West alikuwa upande wa Trump na hakuna dalili zozote za career yake kufa. Tokeni mpambanie haki zenu na sio kulialia upambanaji kutoka kwa mwanaume mmoja. Nyinyi mjifiche kwa fake IDs alafu mtegee diamond ajitokeze? Mdude yuko wapi?
Sijakuambia Chrisette alikuwa upande wa Trump ninekuambia aliperform kwenye Trump inaguration na ndio carrier yake ilipoanza kufa na haikuchukua muda.

I wonder hivi vitu vidogo vinakushinda kuelewa na umekaza shingo.
 
Kifupi Lema hana uwezo wa kutoa video za diamond fb wala youtube...youtube wenyewe wanafaidika kwa uwepo wa video za dimond, sioni wakizitoa kwa shinikizo la wanasaisa while hajiza violate their policies.
 
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya watu wa twitter !! Spana ziendelee.
 
Yaani lema ameshindwa kupambana na watu wa level zake,anahangaika na bwana mdogo Diamond?

Diamond platinum ana la kujifunza kuhusu Hawa wanasiasa,ipo siku hats CCM watamgeuka tu
 
Shida siyo kufanya kampeni Ccm.

Kipindi Naija watu wanauawa Diamond aliweka tweet kupinga yale mauaji. Aisee watu wamnanga sidhani kama huwa anatamani kuangalia ile tweet mara mbilimbili. Unajua ni kwanini?

Wasanii wa Bongo ni wanafiki sana. Matukio yakitokea Bongo wanakaa kimya. Wanalamba matako serikali. Yakitokea huko nje ndio wanajifanya kupiga kelele.



Pitia hiyo Tweet, kama ukishindwa kuelewa watu wanacholalamika sitakuwa na cha kukusaidia.

Ahsante Sana...
 
siasa ni mchezo mchafu yani kwa sasa hawana wakumshambulia kwakua mama anatekeleza hoja zao wameamia kwa mtu binafsi waonekane tu.
katika mashindano lazima mmoja atashinda, sizani kama itampunguza mtu kitu amekosa ngapi, tunategemea hoja za kujenga nchi na sio kushusha nchi chuki na wivu ni adui wa maendelea tupinge.
upizani iwe chachu yamaendeleo sio chuki na uadui.
 
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Mh Godbless Lema ameandika katika mtandao wa Twitter kuwa wapo katika mchakato wa kuondoa kazi/videos za Diamond Platnumz katika mitandao ya YouTube na Facebook. Godbless Lema anadai Diamond amekuwa akijali "njaa" kuliko haki, hivyo kijana Hugo kutoka Tandale ni hatari zaidi ya gaidi.

Diamond ana "tabu" sana mwaka huu!

View attachment 1810929
LEMA AKILI ZIMESHAHAMIA MATAKONI KWA SABABU YA KUOLEWA HIVI UMESHINDWA KUWATOA KINA HALIMA MDEE UNAVAMIA WANAUME ? HEBU HUDUMIA MMEO TU HAYA MENGINE WAACHIE WANAUME KAMA UNAWEZA KUPAMBANA MWACHE MUMEO HUKO RUDI TZ UPAMBANE NA WANAUME TUKUONE
 
hivi hawa hawajui kuwa Diamond is bigger than chadema. hivi diamond agombee urais na mbowe/lissu/lema nani atapata kura nyingi
Hakuna mtu mwenye akili timamu ampigie diamond kura.

Ni low life niggers kama wewe ndo mnamuona role model wenu.
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu ampigie diamond kura.

Ni low life niggers kama wewe ndo mnamuona role model wenu.
Hao unaowaita 'low life niggers' ndio wengi.
Huko Uganda, Bobby Wine (mgombea urais mwanamuziki) alipata kura nyingi sana kutoka kwa hao hao unaowadharau akamhenyesha sana Museveni.
 
Back
Top Bottom