Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Ana kiherehereWasanii wengi walifanya kampeni CCM.
Sijui Kwanini NI diamond PEKEE.[emoji848][emoji848][emoji848].
Bora NI Baki sina CHAMA
Hawako kwenye tuzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana kiherehereWasanii wengi walifanya kampeni CCM.
Sijui Kwanini NI diamond PEKEE.[emoji848][emoji848][emoji848].
Bora NI Baki sina CHAMA
Huu ndio aina ya upinzani tulionao. Inasikitisha kwakweli! Nchi hii ina mambo mengi ya hovyo ya kuyasemea na kuwekeza nguvu zetu huko sio huu upumbavu
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Mh Godbless Lema ameandika katika mtandao wa Twitter kuwa wapo katika mchakato wa kuondoa kazi/videos za Diamond Platnumz katika mitandao ya YouTube na Facebook. Godbless Lema anadai Diamond amekuwa akijali "njaa" kuliko haki, hivyo kijana Huyo kutoka Tandale ni hatari zaidi ya gaidi.
Diamond ana "tabu" sana mwaka huu!
View attachment 1810929
Hapo ndipo wanapopoteanaMama Samia hana adui
Angekuwepo Maguful wala wasingekuwa wana habari na Daimond wangekuwa busy na magu
Huku ni kuingilia uhuru wa mtu.
Mondi ana haki ya kushabikia chama chochote cha siasa na pia kumshabikia mwanasiasa yeyote aliyewekwa na chama chochote cha siasa.
Kushambulia kazi yake kisa tu ni mshabiki wa chama ambacho Lema hakubaliani nacho sio haki hata kidogo.
Huu mtindo mpya wa kuhusisha maisha ya mtu na ushabiki wake wa kisiasa utatuvuruga sana watanzania.
Hivi demokrasia, haki na uhuru wanaopigania Chadema ni upi sasa? Je Diamond haruhusiwe kushabikia chama chochote?
Unganeni mpige kelele ,mmtoe Mdude.Mbona kipindi Roma ametekwa hakuchekwa
Watu waliungana wakapiga kelele na Roma akapatikana
Mdude anatoka vzr Tu na kes yakeUnganeni mpige kelele ,mmtoe Mdude.
Dawa yao Sabaya nao tangia mwamba asepe wanakunyakunya sana ovyoHivi demokrasia, haki na uhuru wanaopigania Chadema ni upi sasa? Je Diamond haruhusiwe kushabikia chama chochote?
Sijui ila nahisi Lema sasa kama kachanganyikiwa na mfumo wa siasa wa sasa uko tofauti na yeye anavyokwenda!Huku ni kuingilia uhuru wa mtu.
Mondi ana haki ya kushabikia chama chochote cha siasa na pia kumshabikia mwanasiasa yeyote aliyewekwa na chama chochote cha siasa.
Kushambulia kazi yake kisa tu ni mshabiki wa chama ambacho Lema hakubaliani nacho sio haki hata kidogo.
Huu mtindo mpya wa kuhusisha maisha ya mtu na ushabiki wake wa kisiasa utatuvuruga sana watanzania.
Ngafu fijoAtii alikuwa mbunge huyu mbombo ngafu
Kwahiyo CCM unawafananisha na makaburu? DamnNaam ana uhuru wa kuungana na madikteta na kuwa sehemu ya ugandamizaji wa haki za watu. Hata akina Chakachaka, Brenda, Lucky Dube walikuwa na uhuru wa kuwapigia kampeni Makaburu, siyo?
sasa ndo naamini, magu alikuwa na influence kubwa hapa nchini na wa pili ni diamond, fullstop..!!! siku zote mti uliofungasha matunda ya kucheba haukosi kupitiwa na warusha mawe.! ila all in all mond anafaidika sana kwenye hili sakata kuliko atakachopoteza... hili sakata limemfanya awe maarufu na ndo the talk of the town hapa mjini... ndo maana kaamua kulikalia kimyaMama Samia hana adui
Angekuwepo Maguful wala wasingekuwa wana habari na Daimond wangekuwa busy na magu