Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Duh! Ila kifo si kila mtu atakufa inajulikana hivyo sasa hapo kipi cha kuitwa utabiri? Labda angesema atakufa vp.Nabii Lema alitabiri kwamba Magufuli atakufa na akafa kweli , Unabii wake umetimia
Huyu alitabiriwa kufa kwa kipindi fulani kifupi sana na ikawa .Duh! Ila kifo si kila mtu atakufa inajulikana hivyo sasa hapo kipi cha kuitwa utabiri? Labda angesema atakufa vp.
Ficha ujinga wako ww. .umepata kuisoma au kuisikia historia ya Oscar Kambona ??? ..nenda kaulize matanga wenzakoLini wewe ulikuwa mkimbizi wa kisiasa? Mbona ulipokuwa Mbunge wa Arusha mjini hukukimbia? Ulipokosa Ubunge ndio ukakimbia?
Acha uzushi
[emoji116]
View attachment 2488095
Inabidi arudi ayakabili madeni. Hakuna namna; hawezi kuendelea kujiita mkimbizi wa kisiasa kwa mazingira ya sasa.Lema alikimbia madeni ya million 400...
Walikuwa watabiri au majangiri waliungana kusuka mpango kabambe wa kumuondoa jiwe? Unakumbuka ile picha aliyokapost Zitto baada ya Jiwe kuletewa moshi kule Ruangwa? Zitto alimpost Samia akikagua gwaride na akaandika sasa zamu yako imefika! Kipindi hicho taarifa zilizopo mtaani kuwa jiwe kakikbizwa South Africa na yupo mahututi.Huyu alitabiriwa kufa kwa kipindi fulani kifupi sana na ikawa .
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Na madhambi ya Jiwe ya uuaji, ushambuliaji watu kwa risasi, utekaji, uporaji na utesaji yalikuwa yakilindwa na nani?Walikuwa watabiri au majangiri waliungana kusuka mpango kabambe wa kumuondoa jiwe? Unakumbuka ile picha aliyokapost Zitto baada ya Jiwe kuletewa moshi kule Ruangwa? Zitto alimpost Samia akikagua gwaride na akaandika sasa zamu yako imefika! Kipindi hicho taarifa zilizopo mtaani kuwa jiwe kakikbizwa South Africa na yupo mahututi.
Jana hapa JF nineona nyuzi moja iliandikwa mwaka 2018, kuna jamaa alikuja kukoment kuwa 2023 hatofika, tutakuwa tayar tuna Rais mwanamke!
Kwa muunganiko huu kuna kila dalili ya shakha kuwa kuna watu waliungana kuhakikisha wanamuondoa jiwe! Na muungano huu unashirikisha vyama vyote vya siasa na wafanyabiashara wakubwa ili kulinda madhambi yao.
Na utabiri wa Ndugai nao kuna aliyekomenti 2018 ?Walikuwa watabiri au majangiri waliungana kusuka mpango kabambe wa kumuondoa jiwe? Unakumbuka ile picha aliyokapost Zitto baada ya Jiwe kuletewa moshi kule Ruangwa? Zitto alimpost Samia akikagua gwaride na akaandika sasa zamu yako imefika! Kipindi hicho taarifa zilizopo mtaani kuwa jiwe kakikbizwa South Africa na yupo mahututi.
Jana hapa JF nineona nyuzi moja iliandikwa mwaka 2018, kuna jamaa alikuja kukoment kuwa 2023 hatofika, tutakuwa tayar tuna Rais mwanamke!
Kwa muunganiko huu kuna kila dalili ya shakha kuwa kuna watu waliungana kuhakikisha wanamuondoa jiwe! Na muungano huu unashirikisha vyama vyote vya siasa na wafanyabiashara wakubwa ili kulinda madhambi yao.
Lema acha hasiraFicha ujinga wako ww. .umepata kuisoma au kuisikia historia ya Oscar Kambona ??? ..nenda kaulize matanga wenzako
Kwa kifupi Bwana ameitendea haki Tz kwa yaliyotokea yoteWalikuwa watabiri au majangiri waliungana kusuka mpango kabambe wa kumuondoa jiwe? Unakumbuka ile picha aliyokapost Zitto baada ya Jiwe kuletewa moshi kule Ruangwa? Zitto alimpost Samia akikagua gwaride na akaandika sasa zamu yako imefika! Kipindi hicho taarifa zilizopo mtaani kuwa jiwe kakikbizwa South Africa na yupo mahututi.
Jana hapa JF nineona nyuzi moja iliandikwa mwaka 2018, kuna jamaa alikuja kukoment kuwa 2023 hatofika, tutakuwa tayar tuna Rais mwanamke!
Kwa muunganiko huu kuna kila dalili ya shakha kuwa kuna watu waliungana kuhakikisha wanamuondoa jiwe! Na muungano huu unashirikisha vyama vyote vya siasa na wafanyabiashara wakubwa ili kulinda madhambi yao.
Kifo siyo utabiri. Ni baiolojia ikifanya kaziNabii Lema alitabiri kwamba Magufuli atakufa na akafa kweli , Unabii wake umetimia
Sio mbowe mliyembambikia kesi ya ugaidi??Ila mimi najiuliza kwanini Mbowe nae maisha yake hayapo hatarini kiasi cha kukimbia nchi ili kujihifadhi kama wenzie?
Ila mimi najiuliza kwanini Mbowe nae maisha yake hayapo hatarini kiasi cha kukimbia nchi ili kujihifadhi kama wenzie?