Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Too Low!Inasemekana kilikuwa chakula cha bwana mkubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Too Low!Inasemekana kilikuwa chakula cha bwana mkubwa.
Mambo Ya Huu Msiba Yalianza Hivi Hivihuo ni uzushi. jana aliesimamia shughuli za kuaga mwili uwanja wa Uhuru ni Simbachawene
Hii corona ya Tanzania ni tofauti na ile ya sehemu nyingine za dunia. Ya Tanzania inatokana na laana za machozi ya wananchi dhidi ya dhuluma na uonevu wa wananchi.corona imekuja
Mbona hiyo Ni juzi tu.Shikamoo!!
Mbona hamkushawishi akamwone Lissu Nairobi?Wasilalamike kuibiwa kura wao waache tu!!mi nilikua mpinzani haswaa but for now sipotezi mda tena na wao!
Tunasubiri Nape na Januari tuone wanatuambiajeWasilalamike kuibiwa kura wao waache tu!!mi nilikua mpinzani haswaa but for now sipotezi mda tena na wao!
Wewe hujamuona huyo jamaa ktk huu msiba wa jpm?Mambo Ya Huu Msiba Yalianza Hivi Hivi
Baadaye Kumbe Ni Kweli Tupu!!
Unazungumzia wananchi gani mkuu hawa tuliyowaona kwenye huu msiba wa Magufuli?Hii corona ya Tanzania ni tofauti na ile ya sehemu nyingine za dunia. Ya Tanzania inatokana na laana za machozi ya wananchi dhidi ya dhuluma na uonevu wa wananchi.
Ndiyo maana imekomaa na vigogo tu. Wasipotubu watakwisha!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora hata wampe babu mzindakaya
NdioUnazungumzia wananchi gani mkuu hawa tuliyowaona kwenye huu msiba wa Magufuli?
Hawa ambao walikuwa wanamlilia Magufuli na wengine hadi wamepoteza maisha kwa kukanygana kisa kuaga mwili wa Magufuli?Ndio
NdioHawa ambao walikuwa wanamlilia Magufuli na wengine hadi wamepoteza maisha kwa kukanygana kisa kuaga mwili wa Magufuli?