Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020

Kumbuka pia mtu anaweza kutumia mwanya huo kufanya kweli. Matukio ya kutengeneza yanawawekeni kwenye tashwishwi ya kutoaminika japo kwa sentimita moja.
Acha porojo mkuu, taifa laingia kuzim we washangilia
Iko hivi mkijifanya ngangali mwafaa, wapinzani sio wajinga na watz sio wajinga,
Kwa taharifa yako tifa mpaka mda huu limejaa upepo inasubiliwa lipuka basi
Unaongozaze taifa ambalo Lina nyufa, kamati ya fitina ya ccm imechemka pakubwa mkuu
 
Tunpambana na wapinga maendeleo, vibaraka wa mabeberu. Vita ya kiuchumi.
 
Duh! Sisi wenyewe tupo tupo sababu hatuna umaarufu wowote na pia tunatumia I'd feki.
 
Too much exaggerations + misrepresentations of facts
 
Big problem hiyo
 
Lazima tumwogope kwa sababu ajenda yake kuu ni kuzua fujo na machafuko; hataki kuona Tanzania ikifanikiwa na kusonga mbele.
Well, nafikiri mkimalizana na Lissu bado mtaenda kwa yule mnayehisi ana hujuma mbaya na Raisi..nyama ya mtu ni tamu be aisee.
 
Eeh bana eh hebu niache kamanda, mimi naugulia machungu ya makamanda wetu kujificha huku wakiomba ukimbizi. Sasa hata sijui tutaingiaje barabarani manaake nilifikiri makamanda wetu wakuu ni majasiri.
Aisee, la maandamano lishaisha, nashangaa mnafake hadi barua ya Makene, hamjishtukii?😄😄
 
Binafsi nisichangie chochote kumhusu.
Aisee!
Ila tu. kama nchi yangu Tanzania ip katika hii hali wanasiasa wanayotaka kutuaminisha, tusingeshindwa kuingia mtaani na kuwaunga mkono.
Siku mchepuko wako ukibambikiziwa kesi na wewe ukapigwa walau turisasi tuwili mwilini ndio utaamini! Kwa sasa endelea kukenua meno!
Mbona hapa kitaa barida tu.
 
Umeandika vitu gani hivi sasa???
 
Yajayo yanafurahisha, tulikuwa tunawapokea Wakongo, Wasomali, Waithiopia, Nk kama wakimbizi waliokimbia maisha ya mateso Nchi mwao

Sasa tutapokelewa Sisi, halafu anatokea mpuuzi anasifu awamu hii....

Nchi inameguka,nchi inakwenda mrama,mnaoshangilia shangilieni, Lakini mjue yajayo yatamkuta kila mtu alie CCM na asie CCM..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…