4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Acha porojo mkuu, taifa laingia kuzim we washangiliaKumbuka pia mtu anaweza kutumia mwanya huo kufanya kweli. Matukio ya kutengeneza yanawawekeni kwenye tashwishwi ya kutoaminika japo kwa sentimita moja.
Iko hivi mkijifanya ngangali mwafaa, wapinzani sio wajinga na watz sio wajinga,
Kwa taharifa yako tifa mpaka mda huu limejaa upepo inasubiliwa lipuka basi
Unaongozaze taifa ambalo Lina nyufa, kamati ya fitina ya ccm imechemka pakubwa mkuu