Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
What? Wee uko serious kweli? Mbona huyo Mr Mzungu tulimalizana naye 4 good kama tulivyomwahidi, ilee Oktoba 28 kwenye ishu ya risasi tatu -- Rais, Wabunge & Madiwani? Sisi tunamove on na vitu zingine. No taimu to "west" with him. Au hujaona ratiba ya kijani inatrend mitandaoni???Well, nafikiri mkimalizana na Lissu bado mtaenda kwa yule mnayehisi ana hujuma mbaya na Raisi..nyama ya mtu ni tamu be aisee.
Inatisha.Noooo!!
Why though?
Are we officially a police state now?
Tatizo mna hila mbaya na kuona kama hamtamaliza term yenu ya miaka saba.What? Wee uko serious kweli? Mbona huyo Mr Mzungu tulimalizana naye 4 good kama tulivyomwahidi, ilee Oktoba 28 kwenye ishu ya risasi tatu -- Rais, Wabunge & Madiwani? Sisi tunamove on na vitu zingine. No taimu with him. Au hujaona ratiba ya kijani inatrend mitandaoni???
Sawa lakini hata hao madikteta wana akili, hawawezi muua mpinzani kipindi hiki, itakuwa ni uzembe wa hali ya juu.Huju ulisemalo, dikteta yeyote hata jani likimgusa tu be ataamuru majani yafyekwena kupigwa risasi!
Yaani Mr Hai ashindwe ubunge tu ndiyo iwe kisa?Yajayo yanafurahisha,tulikuwa tunawapokea Wakongo,Wasomali,Waithiopia, Nk kama wakimbizi waliokimbia maisha ya mateso Nchi mwao
Sasa tutapokelewa Sisi, halafu anatokea mpuuzi anasifu awamu hii....
Nchi inameguka,nchi ikakwenda mrama,mnaoshangilia shangulieni, Lakini mjue yajayo yatamkuta Lila mtu alie CCM na asie CCM..
Yes, I'm real negro...asili yangu ni mtu mweusi.Inabidi tuone sifa kujiita negroes kamanda, ha ha ha.
Usijiseme ujue. Nani alijitelezesha pale Ddm akagotoka guu?Tatizo mna hila mbaya na kuona kama hamtamaliza term yenu ya miaka saba.
Vilaza tunaona sifa kujiita negro, ha ha ha.Yes, I'm real negro...asili yangu ni mtu mweusi.
Dah, kama wewe umefika angalau level ya digrii kibongobongo basi wewe ni hasara.Sawa lakini hata hao madikteta wana akili, hawawezi muua mpinzani kipindi hiki, itakuwa ni uzembe wa hali ya juu.
Inakuaje mnaamini kila kitu bila kureason? Lema auwawe kwa lipi yaani?
Halafu, by the way, dikteta ni yule anayetamani madaraka kwa nguvu wakati hakufikisha hata kura 2MSawa lakini hata hao madikteta wana akili, hawawezi muua mpinzani kipindi hiki, itakuwa ni uzembe wa hali ya juu.
Inakuaje mnaamini kila kitu bila kureason? Lema auwawe kwa lipi yaani?
Hamna Mkuu, hali iko mbaya kwa nchi yangu pendwaYaani Mr Hai ashindwe ubunge tu ndiyo iwe kisa?
Degree ya kazi gani? Hako kadegree uliko nako unajiona msomi umeyapatia maisha? So sad... Lema ni jambazi..hakuna zaidi ya hapo.dah, kama wewe umefika angalau level ya digrii kibongobongo basi wewe ni hasara.
Hakuna mtu timamu asiyejua consequences za G Lemma.
Kwahiyo unaamini Lissu alipata kura nyingi zaidi ya Magufuli? Anaweza akawa na wafuasi wengi lakini hajapata kura za kuzidi.Halafu, by the way, dikteta ni yule anayetamani madaraka kwa nguvu wakati hakufikisha hata kura 2M
Mkamateni na badala ya kumpa kesi ya robbery mpeni ya uhujumu uchumi kama kawaida yenu.Degree ya kazi gani? Hako kadegree uliko nako unajiona msomi umeyapatia maisha? So sad... Lema ni jambazi..hakuna zaidi ya hapo.
Nchi ipo vizuri.. walioenda ubalozini wameenda kwa mapenzi yao wenyewe. Wabaki huko huko...Hamna Mkuu,hali iko mbaya kwa nchi yangu pendwa
LISU anaishi ubalozi wa Germany huyu ni Chadema
Habari zinasema LEMA yuko ubalozi wa Marekani Kenya kenda kuomba ukimbizi,huyu na Chadema
Mazurui yuko ndani chini ya uangalizi wa Polisi, ukweli hajulikani yuko kituo gani, huyu ni ACT-WAZALENDO
na mengi mengineo,..kama unafurahia hii hali kwa utashi wa siasa basi furahia ni haki yako..
Kwa upande wangu naoa AIBU kuwa Mtanzania kwa sasa
Wangeweza kufanya hivyo na si kumtishia kumuua.mkamateni na badala ya kumpa kesi ya robbery mpeni ya uhujumu uchumi kama kawaida yenu.
chenye mwanzo hakikosi mwisho.!
Nani huyo? John Magufuli?Halafu, by the way, dikteta ni yule anayetamani madaraka kwa nguvu wakati hakufikisha hata kura 2M
Naona tafsiri zinajichanganya.
UPDATE: LEMA KURUDISHWA TANZANIA KESHO
Kenya imesema aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema atarudishwa Novemba 9, 2020 baada ya kwenda nchini humo kutafuta hifadhi kwa UNHRC
Lema anayeshikiliwa Kituo cha Polisi cha Kajiado amedai maisha yake yapo hatarini