Hawajitambui hawana tofauti na Lema. Magufuli yuko buzzy anaunda cabinet yenye kasi na viwango.Amepewa ilani ya kurasa 303 na yuko awamu ya mwisho ya utawala wake, amepania kuacha nchi kwenye kiwango cha juu cha uchumi wa kati. Soon Tanzania itaipumulia South Africa kiuchumi, tumedhamilia na tutawezaBro mmeanza ramli 2017,miaka 5 imeisha tunaanza awami nyingine.
Hamchoki kutabiri tu. Huyo Kagame juzi hakuja kwenye uapisho,n a mkatia maneno mkayamaliza[emoji2][emoji2]saa hizi tena mmesahau muda mfupi tu kama kuku, mnaanza mengine.
Madeni banki, wamemkalia kooni alipeLema kachanganyikiwa kifupi kawa chizi
Kama mlikiona kwa macho kila kilichofanyika kwenye uchaguzi huu, kwann hamkuitana kufanya maandamano wakati uchaguzi unaendelea?? Mkaendelea kulinda kura zenu kwenye vituo vya kupigia kura na kuleta filigisu baada ya matokeo yalipotangazwa??
Unachukua panga, mundu, rungu, mshale unaenda kushambuliana na vyombo vya ulinzi kisha utegemee kutoka salama?
Sikiliza. Acha kuongea story ya upande mmoja. Ongelea na mikakati ya hao wanasiasa wahalifu wanavyopanga kutaka kulipua public places kama vituo vya mafuta na kadhalika.
Lema et all wamesema kuwa hawaogopi kufa and so forth... sasa hili la kupanga mikakati ya kigaidi kama polisi wanavyodai ni hakika linawakimbiza nchi wakidai wanatishiwa..
Labda Chato ndo saruji inauzwa sh. 15,000 kwingine kote turudie nyumba za tembe!Hongera sana ndugu,tafuta gazet la nipashe la leo
Hata hiki ulichoandika ni propaganda za kitotoHizo propaganda za kitoto za kulipua maeneo ya umma ndio unatumia kujenga hoja za kujibizana na mimi?
Hizo propaganda za kitoto za kulipua maeneo ya umma ndio unatumia kujenga hoja za kujibizana na mimi?
Hata hiki ulichoandika ni propaganda za kitoto
Hata hiki ulichoandika ni propaganda za kitoto
wampige propaganda lema huyu ambaye sio mbunge tena!!!ana threat gani kwa sasa!!
hivi mnawazaga nini wenzetu???
Hata uongo hauzuiwi kwa nguvu za dola mkuu wanguUkweli hauzuiwi kwa nguvu za dola.
Hacha habari zako,kwenda zako bwana, siasa zipo na Mambo yake ila ukisikia mtu mzima analalamika jua yapo yaliomkutaWachumia tumbo! Yaani ufanye kampeni miezi miwili uwe mpinzani miaka 5 usiuwawe ila mara baada tu ya kupoteza ubunge eti uhai wako uko mashakani hawa wanatufanya wote wajinga.!
The same kwa Lissu umekaa hapa 2month ukifanya Campain, ukizunguka Nchi nzima uchaguzi umeshindwa eti ooh natishiwa maisha stupid.!
I hope this is fake news.
Otherwise, nini kinaendelea hapa Tanzania?
Godbless Lema akamatwa Kajiado akitorokea Kenya yeye na familia yake. Kurudishwa nchini kesho Novemba 9, 2020
Gazeti la The Standard la Kenya linaripoti kuwa Lema na familia yake wamekamatwa eneo la Kajiado wakivuka mpaka wa Namanga kwa tax kutorokea Kenya kwa hofu ya kuuawa. Zaidi.... Aliyekuwa mbunge wa Arusha Mjini kupitia CHADEMA, Godbless Lema amekamatwa na Polisi katika Kaunti ya Kajiando nchini...www.jamiiforums.com
Baada ya dili la kuoana waume kwa waume kushindikana watu wameamua kuwafata wanaume huko Ulaya na USA.Unajua hata libya kuna amani maana sio nchi nzima au kila mahali kuna mapigano.
Ulipo kuwa 12000 ulijenga mpaka wapi???Nimeona kwenye magazeti leo mfuko wa simenti umefika elfu 35,basi punguzeni bei tujenge nyumba jamaniiii tupate maendeleo maaana yake wapinga maendeleo hawapo tena
Ameuliza kama kuna uonevu mbona waTZ hawakuandamana ndio nimetoa mifano ya Rwanda na Zaire ya Mobutu kwamba licha ya unyama uliofanyika ila sikuwahi ona maandamano.Sio jambo jema kuifananisha nchi ya Kidemokrasia inayofuata misingi ya haki za binadamu na Zaire ya Mobutu au Uganda ya Amin
Msitake kusema kuwa watanzania walitiwa hofu,watanzania wanajua hakuna dhuluma,kama kuna dhuluma wao wenyewe wataandamana na kutaka haki.
Pia usifananishe Rwanda na Tanzania, genocide ya Rwanda ilipofanyika kila mtu aliona kilichotokea, acha kupotosha umma kwa mifano ya hovyo.
ndio mjue kwamba viongozi wa chadema ni wasanii tu,wanawatumieniRaia wa kawaida utamfananisha na kiongozi wa chama?.
Huko serious kweli?