Godbless Lema akipata ubunge Arusha nahama nchi

2020
CCM-ARUSHA KWANZA
USIPOTEZE MUDA MAENDELEO YANAPATIKANA CCM TU
PIGA KURA YAKO KWA VIONGOZI WA CCM
 
2010 nilikua arusha nafanya field kwa mama mmoja muhaya ana kampuni yake flan kubwa aliniapia kua lema hawezi shinda ubunge hata iweje. Kilichotokea yule mama aliniheshimu sana .
 
We dingi nilikuwa nakuheshimu sana lkn kwa hili hapana
 
Unabet mpk utawala wa majimbo
 
Mleta mada hapa hata sielewi andiko lako. Nilitegemea kupata hoja za msingi kutokana na utendaji wa mh. Lema ili zitumike kama kipimo cha kutochaguliwa tena na wananchi wa jimbo lake. Tuletee hoja siyo porojo.
 
Mleta mada hapa hata sielewi andiko lako. Nilitegemea kupata hoja za msingi kutokana na utendaji wa mh. Lema ili zitumike kama kipimo cha kutochaguliwa tena na wananchi wa jimbo lake. Tuletee hoja siyo porojo.
Porojoo subiriii UCHAGUZI
2020-Arusha#CCM
ALL D BEST
MB
DIW
KILA KONA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…