Godbless Lema akipata ubunge Arusha nahama nchi

Godbless Lema akipata ubunge Arusha nahama nchi

2020
CCM-ARUSHA KWANZA
USIPOTEZE MUDA MAENDELEO YANAPATIKANA CCM TU
PIGA KURA YAKO KWA VIONGOZI WA CCM
 
2010 nilikua arusha nafanya field kwa mama mmoja muhaya ana kampuni yake flan kubwa aliniapia kua lema hawezi shinda ubunge hata iweje. Kilichotokea yule mama aliniheshimu sana .
 
Kama kuna wapinzani wanasogeza muda wao wa lala salama ni Mhe. Godbless Lema

Namshauri Mhe. Lema yale maneno ya Mhe. Spika kama kweli kakopa hajalipa ajiandae kulipa mapema 2020 asahau ubunge wala udiwani hapo Arusha

Vyema nikatoa tahadhari kuliko Kuja kusubiri mpaka Benki Zinaanza kuuza vitu vyake na ubunge ashakosa.

Halafu atangaze kutaka kuhamia CCM, hilo alitawezekana.

Wanachama wa CHADEMA amtapenda kuona Mali xa kaka yetu mpendawa zikiuzwa sababu ya madeni.

Namshauri mapema hili asije akahisi kumalizia madeni yaliyopo kusubiri posho za bunge la 2021 ataaibika kakangu.
We dingi nilikuwa nakuheshimu sana lkn kwa hili hapana
 
Kama kuna wapinzani wanasogeza muda wao wa lala salama ni Mhe. Godbless Lema

Namshauri Mhe. Lema yale maneno ya Mhe. Spika kama kweli kakopa hajalipa ajiandae kulipa mapema 2020 asahau ubunge wala udiwani hapo Arusha

Vyema nikatoa tahadhari kuliko Kuja kusubiri mpaka Benki Zinaanza kuuza vitu vyake na ubunge ashakosa.

Halafu atangaze kutaka kuhamia CCM, hilo alitawezekana.

Wanachama wa CHADEMA amtapenda kuona Mali xa kaka yetu mpendawa zikiuzwa sababu ya madeni.

Namshauri mapema hili asije akahisi kumalizia madeni yaliyopo kusubiri posho za bunge la 2021 ataaibika kakangu.
Unabet mpk utawala wa majimbo
 
Kama kuna wapinzani wanasogeza muda wao wa lala salama ni Mhe. Godbless Lema

Namshauri Mhe. Lema yale maneno ya Mhe. Spika kama kweli kakopa hajalipa ajiandae kulipa mapema 2020 asahau ubunge wala udiwani hapo Arusha

Vyema nikatoa tahadhari kuliko Kuja kusubiri mpaka Benki Zinaanza kuuza vitu vyake na ubunge ashakosa.

Halafu atangaze kutaka kuhamia CCM, hilo alitawezekana.

Wanachama wa CHADEMA amtapenda kuona Mali xa kaka yetu mpendawa zikiuzwa sababu ya madeni.

Namshauri mapema hili asije akahisi kumalizia madeni yaliyopo kusubiri posho za bunge la 2021 ataaibika kakangu.
Mleta mada hapa hata sielewi andiko lako. Nilitegemea kupata hoja za msingi kutokana na utendaji wa mh. Lema ili zitumike kama kipimo cha kutochaguliwa tena na wananchi wa jimbo lake. Tuletee hoja siyo porojo.
 
Mleta mada hapa hata sielewi andiko lako. Nilitegemea kupata hoja za msingi kutokana na utendaji wa mh. Lema ili zitumike kama kipimo cha kutochaguliwa tena na wananchi wa jimbo lake. Tuletee hoja siyo porojo.
Porojoo subiriii UCHAGUZI
2020-Arusha#CCM
ALL D BEST
MB
DIW
KILA KONA
 
Back
Top Bottom