Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Uongo uko wapi hapo? Sikufuatilia tu kama alikatwa jina kwa sababu hakukuwa na uchaguzi 2020 basi aliyeshinda kura za maoni alikuwa tayari ni mbunge.Umesema uongo
Kulwa Biteko alishinda kura za maoni Jimbo la busanda, akakatwa sababu ilikuwa ni haiwezekani kulwa na doto wakawa wabunge kwenye majimbo mawili tena ya karibu. Nafasi yake ikachukuliwa na tumaini magessa
Umemeza sumu mbaya, vingine kubali vikupite
Kwanza mpumbavu Baba yako mzazi kenge wewe, mimi huwa silali na deni.Wewe mpumbavu unaunafiki mwingi sana! Hao mnaowasema akina Zungu si wanaasili ya kiarabu na Bashe anaasili ya Kisomali hii nchi sio henu niyawote! Huo wizi wa Tanzanite ni uzembe uliosababishwa na utawala wa huyu mamayenu...
Acha kudharau mashine za nchi. Pili, acheni hizi tabia zenu za kibguzi.Sijui walimpate wizara vyeti mtusi kabisa huyu yaan nchi hii walipewa wageni ilaaniwe awamu ya tano
Kulwa Biteko yupo kama nani Mjengoni?Walinogewa wakaona nchi ni mali yao, imagine mpaka pacha wake Kulwa Biteko naye yupo mjengoni.
Magufuli alaaniwe shetani kabisa
Biteko ataendela kuwepo sana tu! Yaani Huyu mama kama atakurupuka tena kama alivokurupuka kumtoa Kalemani nishati shauri yake! Watu wanachuki na Magufuli na watu wake! Inamaan waziri haruhusiwi kufanya biashara ya madini!Biteko na Mnyeti walikuwa wana miliki njia za chini kwa chini za kuvusha madini kule Mererani ili kukwepa surveillance ya ukuta...
Ninachojua Kulwa yupo Uhamiaji Zimbabwe zamani alikuwa Kurasini.Umesema uongo
Kulwa Biteko alishinda kura za maoni Jimbo la busanda, akakatwa sababu ilikuwa ni haiwezekani kulwa na doto wakawa wabunge kwenye majimbo mawili tena ya karibu. Nafasi yake ikachukuliwa na tumaini magessa
Umemeza sumu mbaya, vingine kubali vikupite
Taarifa za KULWA BITEKO kuwa mjengoni umezitoa wapi mzee?Walinogewa wakaona nchi ni mali yao, imagine mpaka pacha wake Kulwa Biteko naye yupo mjengoni.
Magufuli alaaniwe shetani kabisa
Uongo bado huuoni? Umesema kulwa yupo bungeni ukaanza kutema povu, nikakuambia hayupo with evidence.Uongo uko wapi hapo? Sikufuatilia tu kama alikatwa jina kwa sababu hakukuwa na uchaguzi 2020 basi aliyeshinda kura za maoni alikuwa tayari ni mbunge.
Ila ukweli unasimama pale pale hawana haya.
Aligombea ubunge Jimbo la busanda, akashinda. Jiwe akamkata kwa kusema haiwezekani kulwa na Dotto wawe wabunge tena kwa majimbo mawili ya karibu.Ninachojua Kulwa yupo Uhamiaji Zimbabwe zamani alikuwa Kurasini.
Hii ya kuwa Mjengoni ikanishtua kidogo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulwa Biteko hayupo Mjengoni,JPM alishituka akampiga chini kwenye kura za maoniWalinogewa wakaona nchi ni mali yao, imagine mpaka pacha wake Kulwa Biteko naye yupo mjengoni.
Magufuli alaaniwe shetani kabisa
Yote haya nayakumbuka...Aligombea ubunge Jimbo la busanda, akashinda. Jiwe akamkata kwa kusema haiwezekani kulwa na Dotto wawe wabunge tena kwa majimbo mawili ya karibu.
Huyo jamaa akatoka huko akakurupuka bila kushirikisha medula kuwa kulwa yupo bungeni
Lete data zake zaidiHuyu jamaa ni Bahima kabisa
Umesema uongo
Kulwa Biteko alishinda kura za maoni Jimbo la busanda, akakatwa sababu ilikuwa ni haiwezekani kulwa na doto wakawa wabunge kwenye majimbo mawili tena ya karibu. Nafasi yake ikachukuliwa na tumaini magessa
Umemeza sumu mbaya, vingine kubali vikupite
Huyo Matola nakwambia ni mpumnavu na hana akili Kulwa Biteko alikatwa na hakugombea ubunge! Anapozungumzia Kulwa Biteko na mambo ya bungeni ndo anaonekana kwanza ni mtu asiye na taarifa sahihi!,sio mfatiriaji wa mambo!,anaendeshwa na mihemko na ni mpumbavu sana.Uongo bado huuoni? Umesema kulwa yupo bungeni ukaanza kutema povu, nikakuambia hayupo with evidence.
Bado huoni Kama ulisema uongo?
Una tatizo la akili?
Kama kusoma hamjui mimi niwasaidiaje?Taarifa za KULWA BITEKO kuwa mjengoni umezitoa wapi mzee?
Kijiwe cha kahawaUsisahau Jenerali Ulimwengu mnayemsujudu hapa kila siku ni Mrwanda pia na alikuwa mpaka Mkuu wa Wilaya, Familia ya Mwalimu Nyerere ilitokea Rwanda pia sasa sijui laana yako ianzie awamu ipi?
Hata Raisi wako Samia alienda kwa Kagame kuripoti mpaka Mkuu wa Majeshi ya JMTZ Mabeyo na Mkuu wa Jeshi la Polisi chini ya Samia wote walienda kuripoti kwa Kagame na hata Uraisi wa Samia unalindwa na Kagame kama ulikuwa haujui, …
Kagame anaulindaje urais wa samia hivi unajielewa weweUsisahau Jenerali Ulimwengu mnayemsujudu hapa kila siku ni Mrwanda pia na alikuwa mpaka Mkuu wa Wilaya, Familia ya Mwalimu Nyerere ilitokea Rwanda pia sasa sijui laana yako ianzie awamu ipi?
Hata Raisi wako Samia alienda kwa Kagame kuripoti mpaka Mkuu wa Majeshi ya JMTZ Mabeyo na Mkuu wa Jeshi la Polisi chini ya Samia wote walienda kuripoti kwa Kagame na hata Uraisi wa Samia unalindwa na Kagame kama ulikuwa haujui, …