Godbless Lema amtakia safari njema Dotto Biteko Wizara ya Madini

Nimeshakwambia mpumbavu ni Baba yako mzazi.

 

Siku hizi kama mpolee kama maji ya mtungi.

Huyu ni wa kukagua uraia pia anaweza kuwa na uraia pacha 😁😁!
 
None sense.
 
Mkuu,

Samahani naomba nikupe complimentary

Una busara sana! familia yako pamoja na marafiki

zako hawana budi kushukru kuwa na mtu kama

wewe katika maisha yao ya kila siku.

Asante!
Ahsante
 
Wewe unaonekana sio mtanzania kabisa sio kwa hasira hizi
 
Lema asiipangie mamlaka ya uteuzi.
Huyu jamaa ni Bahima kabisa
Huu ubaguzi wenu acheni. Sumu mnayoisambaza mkidhani inafaida it will hit you back. Nachukizwa mno na watu wanaoeneza ubaguzi nchini.
 
Walinogewa wakaona nchi ni mali yao, imagine mpaka pacha wake Kulwa Biteko naye yupo mjengoni.

Magufuli alaaniwe shetani kabisa
Pacha hakupata ubunge walimla kichwa,alikua anagombea jimbo la busanda
 
Akikujibu unistuwe, nilikuwa sijui kama Uhamiaji wetu wanafanyakazi mpaka nje ya Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba hujawahi hata hapo Kenya ukaona Afisa Uhamiaji kutoka Tanzania.. kama bado siyo Issue sana.. unaweza kufanya utafiti pia..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…