Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Porojo huwa hazikosekani, hata hao Kenya usemaga Mlima Kilimanjaro upo kwao, na Olduvai gorge ipo kwao pia.Wanamlindaje mkuu?mbona hujielewi?kwa hiyo na urais huu wamempa wao?basi nchi yetu haina vyombo vya ulinzi na usalama.
Thats it. Consular section.Mwambie kuwa anafanyia kazi ubalozini
Mlaumu Mwendazake. Ndiye alianzisha ubaguzi wa kikabila, kikanda na kichamaLema asiipangie mamlaka ya uteuzi.
Huu ubaguzi wenu acheni. Sumu mnayoisambaza mkidhani inafaida it will hit you back. Nachukizwa mno na watu wanaoeneza ubaguzi nchini.
Kuna mtu wake wa karibu sana aliwahi kuniambia hii kitu nikajua ni umbea tu wa waswahiliHuyu jamaa ni Bahima kabisa
MWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII TU HUYU!Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.
Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.
Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.
Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyoo.
Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.
Pole Biteko, Ila kwa heri
View attachment 2017279
Nimemshangaa sana huyu jamaa amekomaa balaa hana akili kabisaPorojo huwa hazikosekani, hata hao Kenya usemaga Mlima Kilimanjaro upo kwao, na Olduvai gorge ipo kwao pia.
Hizi zote ni porojo tu sawa na hiyo porojo.
Majeshi ya Tanzania yakiamuwa kuifuta Rwanda kwenye ramani ya dunia ni wiko moja tu inatosha.
Ujuwe humu JF hatuko Watanzania tupu na watu wa nchi za jirani tuko nao, kwahiyo propaganda uchwara kama hizo usizishangae.
Khaaaa! Alisikika Mzaramo aking'aka.Tale tale ndiye mrithi wa Biteko.
Japo wengine wanasema ni Zungu!
Dotto Biteko ni WaziriMlaumu Mwendazake. Ndiye alianzisha ubaguzi wa kikabila, kikanda na kichama
Mwacheni Waziri Biteko afanye kazi. Rekodi zinambeba...watoroshaji madini waache tu. Hizo Habari nyepesi nyepesi hazina nafasi ktk Serikali ya sasa.Muhasisi wa ubaguzi ni yule shetani wa chato, sisi tunachofanya ni kumuenzi tu, ubaya wetu ni nini?
Ni rahisi kuandika nonsense kwa mtu MPUMBAVU kama wewe kwa kuwa una uwezo wa kumiliki simu tuNone sense.
Unatumia makalio kufikiri.Ni rahisi kuandika nonsense kwa mtu MPUMBAVU kama wewe kwa kuwa una uwezo wa kumiliki simu tu
Mtusi alipewa wizara nyeti. Jpm bwana full ukabilaAliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.
Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.
Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.
Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.
Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.
Pole Biteko, Ila kwa heri.
Yana sura mbayaHuyu jamaa ni Bahima kabisa