Godbless Lema amuonya Spika wa Bunge, Bw. Job Ndugai

hunijui wewe mataga pori.
sisi tumeshaumizwa sana na CCM yako na bado tupo tunatabasamu, sasa nyie watoto mayai wapambe wa viongozi leo sponsor wako amekatwa kichwa kwa katiba mbovu unayoitetea alafu unalazisha tukuonee huruma.

Narudia tena, wapinzani tumezoeya mateso ya serikali katili ya CCM since 1995, kwahiyo nyie watoto wa bibi msiforce tulie kwenye misiba yenu inayosababishwa na katiba mbovu mnayozungusha viuno kuitetea.
 
Niambie kwanza mwenyekiti wenu yupo wapi saizi. Alafu ntarudi kukujibu hilo swali.
Wewe Acha hujifariji, Mbowe hajaomba msamaha wala hakuna mahali Mbowe ametenda kosa bado ni mtuhumiwa.

Pita mitandaoni na mitaani kama si wewe usiyejitambua hakuna watu wanaomsema vibaya Mbowe.

Ndugai alipo anapata adhabu kali ya nafsi, moyo kwa maana ya presha, aibu na kuzodolewa hadi huenda akaomba kuacha na ubunge. Hii ni adhabu kali Sana kwa mwanadam kuliko kuwekwa mahabusu.
 
Jibu swali mangi, acha mboyoyo mingi.
 
Huna ujuacho manka, nikusaidie tu ndani ya nchi hii hakuna upinzani. Ila kuna maigizo ya upinzani huyo ndugai unayemdharau akifika bei kwa mbowe 2025 ndiye atakua presidential runner kwa ticket ya CDM. Nyie nyumbu wa chini hamna mkijuacho.
 
Lema atawazwe kuwa nabii wa Tanzania.

Alitabiri ya Magufuli.....yametimia
Alitabiri ya Sabaya ......yametimia
Alitabiri ya Ndugai .....yametimia
Mnataka aseme nn tena ili kuwa nabii kamili?
 
Eti kuotea unajifariji MATAGA pole Sana ndio yanatokea Sasa Kwani si alitabiri mwendakuzimu asipoacha dhuruma atakufa haya Leo Kiko wapi Kwa mchato na jeuri yake ya umungumtu?
Unaweweseka ewe Mgelasi uliezamia Korintho!
😁😁😁
 
Meku nimekusoma huna jipya unaweweseka baada ya kua mjane ghafla pole,
Kunywa maji mengi
Relax huu mchezo hauhitaji hasira!
 
Huna ujuacho manka, nikusaidie tu ndani ya nchi hii hakuna upinzani. Ila kuna maigizo ya upinzani huyo ndugai unayemdharau akifika bei kwa mbowe 2025 ndiye atakua presidential runner kwa ticket ya CDM. Nyie nyumbu wa chini hamna mkijuacho.
sasa inakuaje tena unafungua thread kujadili wapinzani ambao wewe mwenyewe unasema hawapo??

Basha ako amejiuzulu baada ya kuzalilishwa na mwenyekiti wako wa CCM alafu unalizimisha wapinzani walie kwenye msiba wenu 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…