Godbless Lema amuonya Spika wa Bunge, Bw. Job Ndugai

Godbless Lema amuonya Spika wa Bunge, Bw. Job Ndugai

Tujiwekee kumbukumbu haya maneno aliyoandika lema...

Huenda siku tukaona aliongea kitu cha msingi..

Acha tujipe muda
Hana lolote, anajua kuwa Ndugai ni mgonjwa, wakati wowote atakufa.

Hata mimi natamani Ndugai angebadili tabia yake. Aache unafiki. Stress za mipango ya unafiki ndizo sumu za kumdhuru afya yake.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Hivi huwezi kujua kuandika? Unawezaje kutoa onyo kwa bosi wako; uandishi wako ni ukanjanja. Ati Lissu afuta CCM iringa! Rubbish
Kwani ccm ipo Iringa ? kuna polisi tu
 
Division ya lema imehusika vipi hapa
Inahusiana vipi na maelezo
Anajitoa ufahamu! Mbowe amefika form six hajawahi kukataa, je anasemaje juu ya Bashite aliyepata F katika masomo 12 na leo anadai ana degree!?
 
Kuna MwanaCCM Mmoja alliyewahi kuwa Mwenyekit wa CCM Themi Arusha, bwana Thomas Munisi au Weraufoo Munisi, aliwahi kunisimulia kuhusu Imani Kali Ya Godbless Lema Kwa Mungu. Huyu Lema si Mtu wa Mchezo Mchezo.

"Sisi Tuna Mungu"
"Tulianza Na Mungu, Tutamaliza na Mungu"
 
Back
Top Bottom