Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
And delivered....!!!Message sent.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And delivered....!!!Message sent.
Punguza jazba, hakuna mbunge wa viti maalum anaweza kua mbunge pasipo chama cha siasa. Ikiwa mnadani akina halima Mdee sio wanachama wenu, nendeni mkathibitishe mahakamani. Maana wao walikata rufaa kupinga kufukuzwa uanachama. Pili, huna uthibitisho kua Ndugai na huyo 'mwendazake' walipanga njama kuvunja katiba ya nchi.Kuna Mitanzania mnatia kichefuchefu kwa mawazo mfu.
Unaongea upumbavu hapa. Haiwezekani Spika Ndugai afanye uhuni wa kuwaingiza Covid-19 Bungeni kwa mlango wa nyuma kwa kukiuka Katiba na Sheria halafu aseme CHADEMA waende Mahakamani!! HIVI HUKO MAHAKAMANI KUNA SHERIA INAYO RUHUSU MBUNGE ASIYE NA CHAMA KUINGIA BUNGENI?????????
Kama hujui huo ujinga umeshaondoka na Mwendazake JPM. Huo ulikuwa mkakati wa JPM na NDUGAI kuwakomoa CHADEMA. Walikuwa wanapindisha Katiba na Sheria wakiwa na uhakika kuwa hata CHADEMA na Wapinzani wakienda Mahakamani watatumia UBABE kuiamuru Mahakama itoe hukumu kinyume cha Sheria kumfurahisha JPM na kuwaumiza CHADEMA.
Mama SSH ametangaza rasmi hataki huo ujinga. Ndiyo maana wakati Tundu Lissu alipolazwa Nairobi SSH alikwenda kumsalimia TAL....!!! Chama ni kimoja but SSH na JPM ni watu wawili tafauti!!!
Mkuu nimeona mchungaji mmoja jwenye clip moja hiv,akitoa onyo Kama hii. Let's waitMANENO HUUMBA!! MUACHE HUYU MGOGO AFANYE DHARAU HALAFU SIKU MOJA ANASIKIA PAAAAAAAAA.....P IMETOKA!!!!
Acha vitisho! VITHIBITISHO VIPO TENA ZAIDI YA SANAPunguza jazba, hakuna mbunge wa viti maalum anaweza kua mbunge pasipo chama cha siasa. Ikiwa mnadani akina halima Mdee sio wanachama wenu, nendeni mkathibitishe mahakamani. Maana wao walikata rufaa kupinga kufukuzwa uanachama. Pili, huna uthibitisho kua Ndugai na huyo 'mwendazake' walipanga njama kuvunja katiba ya nchi.
Kwa hiyo Lema yeye anajua ,vivo vya kila MTU.Poa tusubiri muda. utasema.
Wewe endelea na ubishi wako , huyo Mungu unayemtaja hapa kaleta maandiko yenye maono kwa wabishi kama weweTotal political bankruptcy and utter nonsense!
Mungu hana ubia na mwanadamu yeyote; Mungu hufanya mambo yake kwa namna apendayo Yeye na kwa kufuata schedule yake. Maalim Seif na wapinzani wengine ambao Mungu aliwatwaa walishupaza shingo gani? Mtu anakalia kuomba sala za kizembe mpaka anaishia kukimbia nchi yake!
sasa unalia nini ?H
Kwa hiyo Lema yeye anajua ,vivo vya kila MTU.Poa tusubiri muda. utasema.
And delivered....!!!
Wewe endelea na ubishi wako , huyo Mungu unayemtaja hapa kaleta maandiko yenye maono kwa wabishi kama wewe
Warumi 6:23
Hivi huwezi kujua kuandika? Unawezaje kutoa onyo kwa bosi wako; uandishi wako ni ukanjanja. Ati Lissu afuta CCM iringa! Rubbish
Sikilizia unabii utatimii soon .Uyu nabii mvuta bangi inamana alivyo kua anawatapel watu alifikiria nin yeye akae uko uko uamishoni akil imuingie kichwan kua uongo sio Dil
Hakika litatimia soonSina shaka yeyote na unabii wa Lema,
Ndugai hana faida yoyote kwa taifa letu.
Nasubiri neno litimie kama lilivyo timia
neno Chato. [emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Akina Yona waliyazungumza haya pia zilikuwa ni jumbe zikiwalenga waovu.Mkristo anayetamka maneno kama hayo ujue HAJAMJUA Kristo! Tumuombee!