Godbless Lema amuonya Spika wa Bunge, Bw. Job Ndugai

Godbless Lema amuonya Spika wa Bunge, Bw. Job Ndugai

Kuna Mitanzania mnatia kichefuchefu kwa mawazo mfu.
Unaongea upumbavu hapa. Haiwezekani Spika Ndugai afanye uhuni wa kuwaingiza Covid-19 Bungeni kwa mlango wa nyuma kwa kukiuka Katiba na Sheria halafu aseme CHADEMA waende Mahakamani!! HIVI HUKO MAHAKAMANI KUNA SHERIA INAYO RUHUSU MBUNGE ASIYE NA CHAMA KUINGIA BUNGENI?????????

Kama hujui huo ujinga umeshaondoka na Mwendazake JPM. Huo ulikuwa mkakati wa JPM na NDUGAI kuwakomoa CHADEMA. Walikuwa wanapindisha Katiba na Sheria wakiwa na uhakika kuwa hata CHADEMA na Wapinzani wakienda Mahakamani watatumia UBABE kuiamuru Mahakama itoe hukumu kinyume cha Sheria kumfurahisha JPM na kuwaumiza CHADEMA.

Mama SSH ametangaza rasmi hataki huo ujinga. Ndiyo maana wakati Tundu Lissu alipolazwa Nairobi SSH alikwenda kumsalimia TAL....!!! Chama ni kimoja but SSH na JPM ni watu wawili tafauti!!!
Punguza jazba, hakuna mbunge wa viti maalum anaweza kua mbunge pasipo chama cha siasa. Ikiwa mnadani akina halima Mdee sio wanachama wenu, nendeni mkathibitishe mahakamani. Maana wao walikata rufaa kupinga kufukuzwa uanachama. Pili, huna uthibitisho kua Ndugai na huyo 'mwendazake' walipanga njama kuvunja katiba ya nchi.
 
Punguza jazba, hakuna mbunge wa viti maalum anaweza kua mbunge pasipo chama cha siasa. Ikiwa mnadani akina halima Mdee sio wanachama wenu, nendeni mkathibitishe mahakamani. Maana wao walikata rufaa kupinga kufukuzwa uanachama. Pili, huna uthibitisho kua Ndugai na huyo 'mwendazake' walipanga njama kuvunja katiba ya nchi.
Acha vitisho! VITHIBITISHO VIPO TENA ZAIDI YA SANA
 

Total political bankruptcy and utter nonsense!

Mungu hana ubia na mwanadamu yeyote; Mungu hufanya mambo yake kwa namna apendayo Yeye na kwa kufuata schedule yake. Maalim Seif na wapinzani wengine ambao Mungu aliwatwaa walishupaza shingo gani? Mtu anakalia kuomba sala za kizembe mpaka anaishia kukimbia nchi yake!
 
Total political bankruptcy and utter nonsense!

Mungu hana ubia na mwanadamu yeyote; Mungu hufanya mambo yake kwa namna apendayo Yeye na kwa kufuata schedule yake. Maalim Seif na wapinzani wengine ambao Mungu aliwatwaa walishupaza shingo gani? Mtu anakalia kuomba sala za kizembe mpaka anaishia kukimbia nchi yake!
Wewe endelea na ubishi wako , huyo Mungu unayemtaja hapa kaleta maandiko yenye maono kwa wabishi kama wewe

Warumi 6:23
 
Uyu nabii mvuta bangi inamana alivyo kua anawatapel watu alifikiria nin yeye akae uko uko uamishoni akil imuingie kichwan kua uongo sio Dil
Sikilizia unabii utatimii soon .

Ndio utaju kuwa hujui .

Ndugai ameshikiriki udhalimu mwingi Sana kwenye hii nchi na bado anajiona mwamba hakika atapasulia soon iwe kwa tindo ,au baruti
 
Nyakati za mwisho wataibuka manabii wa uwongo na watafanya miujiza ila tumeambiwa tusiwaamini sasa huyu aliyekuwa mwizi wa magari siku hizi amekuwa nabii wa kuwatabiria wenzake vifo kama yeye kifo hakimhusu halafu wanaemshabikia ni wahuni wavuta bangi
 
Back
Top Bottom