Very SURE.Kila nafsi itaonja mauti. Kama si leo, ni kesho! Hivyo kila mmoja ajiandae kusimama mbele ya Mungu mwenye haki leo, lakini pia afanye kazi zake kana kwamba anayo miaka 100 mbele!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very SURE.Kila nafsi itaonja mauti. Kama si leo, ni kesho! Hivyo kila mmoja ajiandae kusimama mbele ya Mungu mwenye haki leo, lakini pia afanye kazi zake kana kwamba anayo miaka 100 mbele!
Hahaha wanaagua ipasavyo...juzi kati hapa si mmehalalisha matumizi ya tiba za kienyeji hata pasipohitaji....haya ndo Majibu yao sasa.. uzuri wana deliver... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chadema wamegeuka kuwa waganga wa kienyeji!
Alionywa mwendazake akapuuza , kilichotokea unakijuaDuuuh, sisi sote ni binadamu pua zinaelekea ardhini, Ndugai anashida zake na mapungufu mengi ila mambo mengine yanavuka minyau (mipaka)....kila mtu atakwenda kwa muda wake tu....ila siyo kushangilia mambo kama haya
Yeye ameishatubu au anata kwenzake watubu?
Mpambe wa Pengo kazini , hivi kazi ya Pengo kumsafisha Makonda imeishia wapi ?Mkristo anayetamka maneno kama hayo ujue HAJAMJUA Kristo! Tumuombee!
Division ya lema imehusika vipi hapaKama Mungu anayemsema hana ubaguzi basi ataanza na Mwenyekiti Mbowe kwa dhuluma ya posho na mishahara ya wabunge wa CHADEMA lijua likali alishasema yote
Wabunge 19 wa CHADEMA wapo pale kwa kanuni na taratibu, ikiwa sio hivyo CHADEMA waende mahakamani. Lema alipata division ngapi kidato nne? Maana..
🤣🤣🤣Ishuke adhabu chaap kwa haraka
Naisubiri parapanda ipige fasta ili mambo yasiwe mengiIshuke adhabu chaap kwa haraka
Nikumbushe mkuu hilo neno TAKENI AMANI NA WATU WOTE,lipo kitabu gani vile.Anachofanya Spika Ndugai ni KIBRI CHA UZIMA na JEURI YA PESA.
Kama Job Ndugai hajajifunza lolote kupitia tukio la Hayat JPM basi asbiri matokeo huko mbeleni! Mungu katika Biblia anasema TAKENI AMANI NA WATU WOTE. Hilo ni Neno la Mungu
Mungu wa Lema anatenda tumeonaKwan yye LEMA NDIO NANI MUNGU AU MAAANA KAMA ANAMKUMBUSHA DHAMBI WAKT YYE KIPIMO CHA DHAMBI ZAKE HAZIJUI
Hivi yeye dhambi ya ujambazi na wizi wa magari aliitubu lini?
MUNGU HADHIKAKIWI YUKPO WAPI MEKO... ACHENI KIBURIKama Mungu anayemsema hana ubaguzi basi ataanza na Mwenyekiti Mbowe kwa dhuluma ya posho na mishahara ya wabunge wa CHADEMA lijua likali alishasema yote
Wabunge 19 wa CHADEMA wapo pale kwa kanuni na taratibu, ikiwa sio hivyo CHADEMA waende mahakamani. Lema alipata division ngapi kidato nne? Maana..
Duh huyu huwa kama 'anaoteshwa' hivi, Spika usidharau hata kidogo
Lema rudi home kumenoga mtesi wako Mungu kampangia majukumu mengine