Godbless Lema amuonya Spika wa Bunge, Bw. Job Ndugai

Godbless Lema amuonya Spika wa Bunge, Bw. Job Ndugai

Duuuh, sisi sote ni binadamu pua zinaelekea ardhini, Ndugai anashida zake na mapungufu mengi ila mambo mengine yanavuka minyau (mipaka)....kila mtu atakwenda kwa muda wake tu....ila siyo kushangilia mambo kama haya
Alionywa mwendazake akapuuza , kilichotokea unakijua
 
Kama Mungu anayemsema hana ubaguzi basi ataanza na Mwenyekiti Mbowe kwa dhuluma ya posho na mishahara ya wabunge wa CHADEMA lijua likali alishasema yote
Wabunge 19 wa CHADEMA wapo pale kwa kanuni na taratibu, ikiwa sio hivyo CHADEMA waende mahakamani. Lema alipata division ngapi kidato nne? Maana..
Division ya lema imehusika vipi hapa
Inahusiana vipi na maelezo
 
Anachofanya Spika Ndugai ni KIBRI CHA UZIMA na JEURI YA PESA.
Kama Job Ndugai hajajifunza lolote kupitia tukio la Hayat JPM basi asbiri matokeo huko mbeleni! Mungu katika Biblia anasema TAKENI AMANI NA WATU WOTE. Hilo ni Neno la Mungu
Nikumbushe mkuu hilo neno TAKENI AMANI NA WATU WOTE,lipo kitabu gani vile.
 
Kama Mungu anayemsema hana ubaguzi basi ataanza na Mwenyekiti Mbowe kwa dhuluma ya posho na mishahara ya wabunge wa CHADEMA lijua likali alishasema yote
Wabunge 19 wa CHADEMA wapo pale kwa kanuni na taratibu, ikiwa sio hivyo CHADEMA waende mahakamani. Lema alipata division ngapi kidato nne? Maana..
MUNGU HADHIKAKIWI YUKPO WAPI MEKO... ACHENI KIBURI
 
Duh huyu huwa kama 'anaoteshwa' hivi, Spika usidharau hata kidogo

Season One tumeona sasa ngoja tuone Season two inakujaje kujaje? au watamkamata tena na kumpeleka mahabusu?
 
ndipo akili za chadema zilipofikia hapa.

tukisema hamna upinzani bali genge la wahuni nchini mnang'aka.

anajivika jukumu la kuwa mshitaki mbele za Mungu ili!!!!
 
Back
Top Bottom