Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
TAGA katika ubora wako, unapuyanga tu.Kama Mungu anayemsema hana ubaguzi basi ataanza na Mwenyekiti Mbowe kwa dhuluma ya posho na mishahara ya wabunge wa CHADEMA lijua likali alishasema yote
Wabunge 19 wa CHADEMA wapo pale kwa kanuni na taratibu, ikiwa sio hivyo CHADEMA waende mahakamani. Lema alipata division ngapi kidato nne? Maana..
Nginjanginja mpka mirembe.