Godbless Lema amuonya Spika wa Bunge, Bw. Job Ndugai

Godbless Lema amuonya Spika wa Bunge, Bw. Job Ndugai

Sawa sana!
Ila Mungu Ametuagiza kwa Ukali
[emoji116][emoji116]
EZE. 33:8-9 basi mtu awaye yote Nimwambiapo mtu mbaya, Ewe mtu mbaya, hakika utakufa, nawe husemi neno la kumwonya mtu huyo, aiache njia yake, mtu mbaya huyo atakufa katika uovu wake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako. Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako.
Ni nani awezaye kujua mwenzie ni mbaya kuliko yeye? Hapa duniani kuna mtu anauwezo wa kujua ubaya? Hilo neno linaonyesha kwamba binadamu anapower hiyo? Anyway Bible kila mtu anatafsiri yake......
 
Dunia kuna mambo kwamba kifo cha JPM ni sababu Lema alitamka? Heheheahaha
 
Chadema ndiyo imesema hayo au ni G. Lema!!!??
Serikali ihakikishe watoto wanapata lishe bora ili tuondokane na watu kama wewe.

hujui hata lema ni nani!!!!

lishe bora imekusaidia nini sasa zaidi ya kunenepa???
tatizo lenu nyumbu ni moja,kuongea bila kuzingatia nafasi yako kwa jamii.
 
hujui hata lema ni nani!!!!

lishe bora imekusaidia nini sasa zaidi ya kunenepa???
tatizo lenu nyumbu ni moja,kuongea bila kuzingatia nafasi yako kwa jamii.
Sasa kama hujui kama lishe bora inasaidia utimamu wa ubongo,utajua nini lingine!!? Ndio maana upo hivyo ulivyo. Jitahidi wanao wapate lishe bora ili wasije kuwa kama wewe.
 
Sasa kama hujui kama lishe bora inasaidia utimamu wa ubongo,utajua nini lingine!!? Ndio maana upo hivyo ulivyo. Jitahidi wanao wapate lishe bora ili wasije kuwa kama wewe.

lishe bora si changamoto kwa kila familia kama ilivyo hapo kwenu,wacha kuwaza lishe muda wote.
angalia huna hata muda wa kujua lema ni nani hapo ufipa,unawaza lishe tu.
 
Ni nani awezaye kujua mwenzie ni mbaya kuliko yeye? Hapa duniani kuna mtu anauwezo wa kujua ubaya? Hilo neno linaonyesha kwamba binadamu anapower hiyo? Anyway Bible kila mtu anatafsiri yake......
Kama hujui ubaya na wema basi ukae ukijua dhamira Njema Aliyo Kuumbia Mwenyezi ndani yako Imejifia!
 
Huyu Lema naye akili kdg aliyokuwa nayo ndo imemponyoka kabisa, ukiona mtu ameanza kubet vifo vya washindani wake ujue yeye ndio kashindwa, kifo is there in any how by nature ya mwanadamu.
 
Back
Top Bottom