Zimearika sana ndo maana beneficiaries wa TASAF walivyoahidiwa kununuliwa ndege tano zaidi uwanja wa jamhuri ukalipukaAtokee Mwanasiasa Wa Chama Chochote Kwenye Hii Mikutano Ya Kampeni,Asimame Jukwaani Kisha Aseme
WANANCHI WOTE MLIOKO HAPA UWANJANI, HEBU KILA MMOJA WENU ATOE SHILINGI ELFU 5 TU AIONYESHE JUU!
Kuna Uwezekano Wakawa Nayo Wachache Mno!
Hicho Ni Kipimo Tosha Cha Hali Zetu Ngumu
Anatokea mjinga mmoja anatuambia hali za maisha ya watu zimeimarika.
Hao wanao sema kuwa hali za wananchi ni mzuri hawatakii mema watanzaniaAtokee Mwanasiasa Wa Chama Chochote Kwenye Hii Mikutano Ya Kampeni,Asimame Jukwaani Kisha Aseme
WANANCHI WOTE MLIOKO HAPA UWANJANI, HEBU KILA MMOJA WENU ATOE SHILINGI ELFU 5 TU AIONYESHE JUU!
Kuna Uwezekano Wakawa Nayo Wachache Mno!
Hicho Ni Kipimo Tosha Cha Hali Zetu Ngumu
Anatokea mjinga mmoja anatuambia hali za maisha ya watu zimeimarika.
Vipi mkutano.?na wataambulia Kura za namba ya viatu...
Bora wanaoomba kuliko wanaokwapua 1.5 trillion na kuhujumu madawa hospital, mishahara ya watumishi wetuHalafu makamanda wamezoea sana kuomba omba wakati ruzuku wanapata
Na hatumwachi, twakanyage naye bega kwa bega mkombozi wa Tanzania iliyododeshwa na Bwana "Kamongo"Lissu kanyaga twende...!!![emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1752][emoji1752]
Ha ha ha mbona kinyonge [emoji23][emoji23]Mkuu utakuwa unanionea kabisa
Jamaa kani komalia kishenziHa ha ha mbona kinyonge [emoji23][emoji23]
Unacho bisha nn bac wajaribu kumpitisha gambo bila kupingwaEti wanajitambua!! Hebu acha uvuvuzela dada! Usitake tuseme tabia za watu wa Arusha wanaomuunga mkono Lema na wala si wana Arusha wote!
Soma PM mremboKwa hiyo Lemma alitaka shughuli zingine zisimame kisa Chadema wanafanya mkutano Arusha? Kila mtu afanye jambo lake
Du, hujui maana ya uzinduziAmeacha kulaumu Yanga jana, je walihujumu mkutano wa segerea
Make Tanzania Great Again.Sass rasmi simba ni ccm na wanachama wa simba ni mataga
Ndugu Muda mwingine Hawa wachumia siasa wanakosaga Akili wanabakiza za kuvukia barabara tu.Ameacha kulaumu Yanga jana, je walihujumu mkutano wa segerea
Lema hakufungua kesi hizo. Ni nguvu yake ya kisiasa iliyomsababishia kisasi cha serikali kumfungulia kesi. Hata wewe wajua!Kwa sasa wanajitambua ndiyo maana wanamtaka Gambo lema hana issue tena hawasaidii wananchi wake kakalia makesi tu.