Uchaguzi 2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

Atokee Mwanasiasa Wa Chama Chochote Kwenye Hii Mikutano Ya Kampeni,Asimame Jukwaani Kisha Aseme

WANANCHI WOTE MLIOKO HAPA UWANJANI, HEBU KILA MMOJA WENU ATOE SHILINGI ELFU 5 TU AIONYESHE JUU!

Kuna Uwezekano Wakawa Nayo Wachache Mno!

Hicho Ni Kipimo Tosha Cha Hali Zetu Ngumu

Anatokea mjinga mmoja anatuambia hali za maisha ya watu zimeimarika.
Zimearika sana ndo maana beneficiaries wa TASAF walivyoahidiwa kununuliwa ndege tano zaidi uwanja wa jamhuri ukalipuka
 
Atokee Mwanasiasa Wa Chama Chochote Kwenye Hii Mikutano Ya Kampeni,Asimame Jukwaani Kisha Aseme

WANANCHI WOTE MLIOKO HAPA UWANJANI, HEBU KILA MMOJA WENU ATOE SHILINGI ELFU 5 TU AIONYESHE JUU!

Kuna Uwezekano Wakawa Nayo Wachache Mno!

Hicho Ni Kipimo Tosha Cha Hali Zetu Ngumu

Anatokea mjinga mmoja anatuambia hali za maisha ya watu zimeimarika.
Hao wanao sema kuwa hali za wananchi ni mzuri hawatakii mema watanzania
 
Kwi kwi kwi kwi kwiiiii!!!!
Hii drone iliyotumika kupiga picha hapa uwanjani tutaishtaki Kwa kutuhujumu
 
Lissu kanyaga twende...!!![emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1752][emoji1752]
Na hatumwachi, twakanyage naye bega kwa bega mkombozi wa Tanzania iliyododeshwa na Bwana "Kamongo"
 
Nilichokiona wapinzani wengi akili zo huwa ni nyepesi kulishwa matango poli yani mmoja akisema hili basi wote wanafata mkumbo yani Simba ishindwe kufanya maandilizi kisa nyie mnafanya mkutano wenu
 
Kwa sasa wanajitambua ndiyo maana wanamtaka Gambo lema hana issue tena hawasaidii wananchi wake kakalia makesi tu.
Lema hakufungua kesi hizo. Ni nguvu yake ya kisiasa iliyomsababishia kisasi cha serikali kumfungulia kesi. Hata wewe wajua!
 
Back
Top Bottom