Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwashee kuna dalili za watu kupata heart attack, maana si kwa aibu hizi wanazopata.Kwenye tamasha la kijani bwashee?
Nje ya mada😂😂CCM akili sifuri wamesema tuna ndege 11 na wataongeza ndege 5, CCM wana laana, watu hawana maji safi wao wanatuletea upuuzi
Bwashee! Si anaogopa kukosa watu? Basi akakae tamashani na Baada ya tamasha ahutubie, kwani kunazuwio?😂😂Kwenye tamasha la kijani bwashee?!
Kumbe kuna kiingilio?Mkuu, hili la bure si kweli, jana nlkuwa kwenye game, na usiku gari la matangazo lilikuwa linataja kiingilio. Sababu zingine ni za kitoto kabisa. Kwa hiyo ile siku ya jana ya mwananchi mbona hamkulalamika? Kama unajiamini, kuna haja gani kuanza kulalama mitandaoni? Your poor campaign strategy, usiwe mzigo Kwa wananchi. Ama kweli kama nilivyosema Chadema haina mathink tanks kwa sasa.
Wanaendeleza uhanithi wao kwa style nyingine.Nikweli Serikali inawahujumu, kila, mwenye akili anafaham. johnthebaptist naomba unipitie ilani ya maCCM niisome.
Bwashee! Si anaogopa kukosa watu? Basi akakae tamashani na Baada ya tamasha ahutubie, kwani kunazuwio?😂😂Kwenye tamasha la kijani bwashee?!
Idadi ya watu na mabakuli zitakuwa sawa 🤣 🤣 🤣Lisu atapokelewa na watu kiduchu!
Mkuu demokrasia ni watu sio CCM. Upinzani wameshindwa kuwa na direction unategemea wananchi wafanyeje sasaCCM wameshindwa kulea na kuendeleza demokrasia nchini. Inasikitisha sana aina ya siasa waliyoamua kufanya.
Uzuri dunia inazunguka, kuna siku watakuja nao kufanyiwa vitimbi hivi hivi ndiyo wataelewa.
Sidhani kama CCM wanaamini uwepo wa Mungu,yaani CCM yenyewe ndio Mungu wao kwahiyo dunia inaweza ikazunguka lakini Tanzania ikasimama kwa uwezo wa Mungu wao, hawajawahi kufikiria kwamba lolote wakati wowote linaweza likatokea kwasababu wamejenga imani kubwa sana kwa huyo Mungu wao CCM.CCM wameshindwa kulea na kuendeleza demokrasia nchini. Inasikitisha sana aina ya siasa waliyoamua kufanya.
Uzuri dunia inazunguka, kuna siku watakuja nao kufanyiwa vitimbi hivi hivi ndiyo wataelewa.
Naunga Mkono HojaLia lia FC aka Chadomo aka wa Ufipa 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Amwambie Lissu aende kuhutubia kwenye mechi ya Simba uwanjani atapewa dk 2 half time.
Msitupangie, si mnajifanya mnaushawishi? Tuone sasaCCM wameshindwa kulea na kuendeleza demokrasia nchini. Inasikitisha sana aina ya siasa waliyoamua kufanya.
Uzuri dunia inazunguka, kuna siku watakuja nao kufanyiwa vitimbi hivi hivi ndiyo wataelewa.
Eti wanajitambua!! Hebu acha uvuvuzela dada! Usitake tuseme tabia za watu wa Arusha wanaomuunga mkono Lema na wala si wana Arusha wote!
Ha ha Yusuf Manji wa wapi? Ongeza sauti sijasikiaKumbe kuna kiingilio?
Nilitaka kushangaa Simba na Bure wapi na wapi bwashee? Labda angekuwa yule Yusuf Manji wa Zambia!
Alizishinda bila kupambana nazo?Alie zishinda hujuma ni nani?