johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Wanasema ilikuwepo muda mrefu kabla Lisu hajapitishwa na NEC!Na kweli hi mechi imeshtukizwa tu, sijui kama ilikuwa kwenye plan.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema ilikuwepo muda mrefu kabla Lisu hajapitishwa na NEC!Na kweli hi mechi imeshtukizwa tu, sijui kama ilikuwa kwenye plan.
Mmeanza kulaumu hata mechi🤔?, Daaah😂😂😂Na kweli hi mechi imeshtukizwa tu, sijui kama ilikuwa kwenye plan.
Sidhani kama CCM wanaamini uwepo wa Mungu,yaani CCM yenyewe ndio Mungu wao kwahiyo dunia inaweza ikazunguka lakini Tanzania ikasimama kwa uwezo wa Mungu wao, hawajawahi kufikiria kwamba lolote wakati wowote linaweza likatokea kwasababu wamejenga imani kubwa sana kwa huyo Mungu wao CCM.
Kuanzia mdhamini mpaka msemaji mikia wote ni ccm, naona hata mashabiki pia wote mtakuwa ccm kama hamtaki anzisheni timu yenuSimba kama inajiunga na genge la wahalifu Yanga kuwa upande wa wakandamizaji narudisha kadi, haina maana,
Dar Jana kulikuwa na Yanga day lakini Lissu alifanya kampeni kama kawaida.Kwenye kampeni hatuhitaji watazamaji tu kama miaka mingine tunataka anayeenda kwenye kampeni awe mpiga kura kweli hao wa matamasha waache waende
Hata chadema wanapata Kodi zetu pia, sasa watumie kujenga ofisi ya maanaCCM wanatumia kodi zetu kuhonga wasanii.
Na nyie Chadema mmetuchosha, kama nyie ni bora maana yake watu watajazana kwenye huo mkutano wa Lissu na hawataenda kuangalia mpira. Mbona Lema unaongea sana utadhani umekatwa kitwa?CCM wanatumia kodi zetu kuhonga wasanii.
Rudisha kwani wewe ni Mo.Simba kama inajiunga na genge la wahalifu Yanga kuwa upande wa wakandamizaji narudisha kadi, haina maana,
Ila amevuna aisee, miaka kumi si mchezo, kwa umaskini ulionao najua unatamani upewe ubunge hata mwaka mmoja tuLema aanze kutafuta kazi nyingine ya Ubunge tayari ni Gambo.
Acha kufuru ya kipumbavu namna hiyo.Sidhani kama CCM wanaamini uwepo wa Mungu,yaani CCM yenyewe ndio Mungu wao kwahiyo dunia inaweza ikazunguka lakini Tanzania ikasimama kwa uwezo wa Mungu wao, hawajawahi kufikiria kwamba lolote wakati wowote linaweza likatokea kwasababu wamejenga imani kubwa sana kwa huyo Mungu wao CCM.
Mkuu wanajiamini mbona mwalalamika tenaPopote pale Magufuli atakanyaga mambo yatadhibitiwa.
Huu upumbavu wakutumia fedha za walipakodi behind the seen kulipia hizi Fujo ili kuwahujumu Chadema ni matumizi mabaya kabisa ya pesa zetu.
Mimi kazi ninayofanya inanitosha sana mkuu. Pesa ya mboga si haba!Ila amevuna aisee, miaka kumi si mchezo, kwa umaskini ulionao najua unatamani upewe ubunge hata mwaka mmoja tu
Hahahaaa! Hiyo kazi yako nzuri kuliko kipato cha ndugu Lema?Mimi kazi ninayofanya inanitosha sana mkuu. Pesa ya mboga si haba!
Mkuu, usijifikirie wewe tuu. Unapolazimisha mgongano usiyo wa lazima ni kwa faida ya naniMkuu, hili la bure si kweli, jana nlkuwa kwenye game, na usiku gari la matangazo lilikuwa linataja kiingilio. Sababu zingine ni za kitoto kabisa. Kwa hiyo ile siku ya jana ya mwananchi mbona hamkulalamika?
Kama unajiamini, kuna haja gani kuanza kulalama mitandaoni? Your poor campaign strategy, usiwe mzigo Kwa wananchi. Ama kweli kama nilivyosema Chadema haina mathink tanks kwa sasa.
na wataambulia Kura za namba ya viatu...Mkuu, usijifikirie wewe tuu. Unapolazimisha mgongano usiyo wa lazima ni kwa faida ya nani