OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
inaweza kuwa hujuma lakini sio bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hili la bure si kweli, jana nlkuwa kwenye game, na usiku gari la matangazo lilikuwa linataja kiingilio. Sababu zingine ni za kitoto kabisa. Kwa hiyo ile siku ya jana ya mwananchi mbona hamkulalamika?
Kama unajiamini, kuna haja gani kuanza kulalama mitandaoni? Your poor campaign strategy, usiwe mzigo Kwa wananchi. Ama kweli kama nilivyosema Chadema haina mathink tanks kwa sasa.
Tatizo nyie wana Siasa mnataka kuingiza siasa zenu kila, sehemu, watu waache kucheza mpira mjini, eti sababu kuna mkutano.Simba kama inajiunga na genge la wahalifu Yanga kuwa upande wa wakandamizaji narudisha kadi, haina maana,
Akikupa na mimi nitumie aisee! Tunaongozwa na washamba ambao mwisho wao ni sasa!Nikweli Serikali inawahujumu, kila, mwenye akili anafaham. johnthebaptist naomba unipitie ilani ya maCCM niisome.
Lema hana mpinzani Arusha. Kama mna jiamini matamasha ya nini? Mkuu wa mkoa yuko anaongea na wamachinga,Lema aanze kutafuta kazi nyingine ya Ubunge tayari ni Gambo.
Je wewe umeshawai kunywa maji machafu?? Tuanzie hapo Kwanza .........mbona unapenda kuongelea wengine??....…........😁😁😁😁mbona ukipata pesa umuombei dua na mwenzanko apate unasema ni ujinga wake ajishugulishi......think loud uCCM akili sifuri wamesema tuna ndege 11 na wataongeza ndege 5, CCM wana laana, watu hawana maji safi wao wanatuletea upuuzi.
gambo ajitoe tu amuunge mkono lema kwani atakuja kuaibika sana arushaLema aanze kutafuta kazi nyingine ya Ubunge tayari ni Gambo.
Mtukaneee ila naomba ka picha hata ka msafara kutoka kia tuone mtoa maono wetuCCM akili sifuri wamesema tuna ndege 11 na wataongeza ndege 5, CCM wana laana, watu hawana maji safi wao wanatuletea upuuzi.
Lema aanze kutafuta kazi nyingine ya Ubunge tayari ni Gambo.
Yaonekana umeambiwa karibu utaahidiwa kujengewa daraja la baharini huko kijijini kwenu mkoa wa Katavi. Ongeza bidii.Bwashee! Si anaogopa kukosa watu? Basi akakae tamashani na Baada ya tamasha ahutubie, kwani kunazuwio?😂😂
'Kweli' mwenye ushawishi ni yule alieahadi kuwaletea midege mingine mingi kijijini kwenu Ikingwaminato kupambana na shida ya majiLema kwa Gambo ni mwepesi sana,Chadema ya sasa ni chama cha malalamiko sio sera na ushawishi kwa wananchi.
Hata kama bk7 imeongezwa, punguza papara ili uandike ulichotaka kumaanisha.Lisu ana hamu na kampeni za urais!
Wasalimie sie wenzenu, tumechoka baada ya safari ndefu toka Dodoma kwenye mkesha wa tamasha la taifa la muziki, kurudi kwetu Igulumbiro.Hiyo mechi ya Simba Vs AFC kiingilio ni 5000 mzunguko na 10,000 VIP sio bure.
Picha saivi zipo kwa fundi Maiko anafanya kazi yake 🤣Mtukaneee ila naomba ka picha hata ka msafara kutoka kia tuone mtoa maono wetu
Anavyo pendeza.
Jamani hakuna hata mwenye ka smartphone hapo njiani?
Watu wataenda wanapopapenda, ukiona ukiona nyomi ipo kwenye mpira basi jua siasa zimewachosha.View attachment 1554083
inaweza kuwa hujuma lakini sio bure