Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Mtukaneee ila naomba ka picha hata ka msafara kutoka kia tuone mtoa maono wetuCCM akili sifuri wamesema tuna ndege 11 na wataongeza ndege 5, CCM wana laana, watu hawana maji safi wao wanatuletea upuuzi.
Anavyo pendeza.
Jamani hakuna hata mwenye ka smartphone hapo njiani?
😁😁😁😁Picha saivi zipo kwa fundi Maiko anafanya kazi yake 🤣