Uchaguzi 2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

Watasema hawakuwa na smartphone, watasingizia walinyang'anywa na walinda amani (malalamiko mengine). Na TBC ndio waliwafukuza jana, hawataki coverage ya mikutano yao.
Twende kazi.
IMG-20200831-WA0035.jpg
IMG-20200831-WA0034.jpg
 
Huyo Mgambo mbogamboga wenzie hawampi kura,ije kuwa wanachadema??? acha ndoto za mchana.. Pesa na northern zone ni Chanda na Pete watakula za mbogamboga ila kura CHADEMA..
Upo sahihi
 
Njama za kuhujumu ujio wa mh Lissu hapa bikini Arusha kuendeleza kampeini zake na cdm zimebuuma.

Ccm walijua kabisa kuwa mh Lissu ana washabiki na wapenzi wengi sana hapa Arusha na wengi wao ni vijana ambao wameichoka ccm.

Hivyo wakaona njia ya kuwa fanya wasiende kwenye mapokezi na mkutano wa mh Lissu ni kuandaa mechi ya kustukiza ya soka kati ya simba na Arusha fc.

Matokeo yake watu wamegoma kwenda uwanjani kutazama mpira ingawa wapo pia wapenzi wa simba lkn wameamua kwenda kumsikiliza rais wao mtarajiwa mh Lissu.

Nawapongeza sana wana wa Arusha.
Hiyo ndiyo hali halisi ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha. View attachment 1554386
EEBANA EEH , SALUTE KWENU WADAU WA A-TOWN, MMEWACHAPA CCM NA VIBARAKA WAO NGUMI KIBAO ZA USO, WAKAFIE MBELE.
 
Hali ya CCM ni mbaya kweli kweli,muda huu wapo kikaoni wanamlaumu DC kaboringa sana.Mwenyekiti wa CCM Mkoa RPC Mstaafu Zelot anataka wajumbe wa kamati ya Wilaya ya kutafuta mbinu mbadala mapema ndani ya week 2 kabla jahazi halijazama kabisa.
 
OKW BOBAN SUNZU anasemaje ndugu Wananchi wa JMT?!
Kama kuna taarifa za ndani kuhusu hujuma hapo sawa.Ila kama ni kujisemea sababu kumekuwa na mechi huo ni ujinga. Shughuli lazima ziendelee na Simba wapo kazini AFC wapo kazini wanatafuta posho za wachezaji. Jana ACT imezindua kampeni na ilikuwa Yanga Day.
 
Acha kufuru ya kipumbavu namna hiyo.
Sir God yupo kila mahala huwezi mlinganisha na kitu chochote. Usifikiri kuwa upinzani ndo kwenda mbinguni . Hebu fikirini vizuri jamani laana Zingine tunajitakia wenyewe. Kumlinganisha Mungu na chama kweli? Big noooooooooo.
Ungekuwa sio mpumbavu ungeelewa kilichoandikwa,na umeniita mpumbavu kwasababu ya upumbavu wako.
 
Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Ndg. Godbless Lema amelalamika kuwa CCM inawahujumu kwa kuandaa mechi ya Simba bila kiingilio na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu mkutano wa mgombea urais wa CHADEMA Ndg. Tundu Lissu.

Hata hivyo Lema ameapa kuwa leo ndio CCM watajua kwamba CHADEMA ni baba lao Arusha.

Lema amesema haya katika ukurasa wake wa Twitter.

My take: Kwani sehemu anayoenda Lissu ni lazima shughuli zisimame?

Maendeleo hayana vyama!
Huyo nae kachanganyikiwa mechi ya Simba wamelipa kiingilio na hakukuwa na wasanii.Kwani kampeni shughuli nyingine haziendelei au.
 
Back
Top Bottom