Uchaguzi 2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

Njama za kuhujumu ujio wa mh Lissu hapa bikini Arusha kuendeleza kampeini zake na cdm zimebuuma.

Ccm walijua kabisa kuwa mh Lissu ana washabiki na wapenzi wengi sana hapa Arusha na wengi wao ni vijana ambao wameichoka ccm.

Hivyo wakaona njia ya kuwa fanya wasiende kwenye mapokezi na mkutano wa mh Lissu ni kuandaa mechi ya kustukiza ya soka kati ya simba na Arusha fc.

Matokeo yake watu wamegoma kwenda uwanjani kutazama mpira ingawa wapo pia wapenzi wa simba lkn wameamua kwenda kumsikiliza rais wao mtarajiwa mh Lissu.

Nawapongeza sana wana wa Arusha.
Hiyo ndiyo hali halisi ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha. View attachment 1554386
Hii Ni aibu Sana kwa Klabu ya Simba!
 
Mkuu sasa unategemea kama simba wenyewe wangekuwa na uamuzi gani zaidi ya kukubali maagizo ya mooooo?
Simba wenyewe kama sio maagizo wangeenda kwa Lissu. Binafsi siwalaumu kwa kuwa wanafanya kazi kwa mujibu wa mikataba yao.

Kwa maana ya kufanya maandalizi wamefanikiwa 100%, wenye shida ni waliotaka kuwatumia kufanikisha upuuzi wao ambao umefeli.
 
Simba wenyewe kama sio maagizo wangeenda kwa Lissu. Binafsi siwalaumu kwa kuwa wanafanya kazi kwa mujibu wa mikataba yao.

Kwa maana ya kufanya maandalizi wamefanikiwa 100%, wenye shida ni waliotaka kuwatumia kufanikisha upuuzi wao ambao umefeli.
Upo sahihi kabisa mkuu
 
Leta picha za mafuriko ya arusha
Picha utapata kama zoote kutoka Arusha
FB_IMG_1598892787465.jpg
 
Kwa hiyo Lemma alitaka shughuli zingine zisimame kisa Chadema wanafanya mkutano Arusha? Kila mtu afanye jambo lake
 
Msianze kutapatapa na huyo lissu wenu kwa kutafuta Huruma kwenye vilabu vyetu.

Kwani hata Kama wameweka kiingilio bure si nikwaajili ya Mashabiki wao wa Arusha, Wanahusiana na je na mikutano yenu?...
Ameacha kulaumu Yanga jana, je walihujumu mkutano wa segerea
 
Wakuu Salamu toka Arusha na vitongoji vyake.

Uwanja wa Shekh Amri Abeid na tamasha uwanja wa Kilombero hakuna watu ni aibu tupu kama si fedhehea.

Wana Arusha wapo uwanja wa Relini wamejaa tele hakuna nafasi ya kutema mate.Hakuna nafasi ya kujigeuza wala kujinasi ni nyomi ya kutosha na kusikitisha kwa wenye hila na hiyana.

Mkuu wa Wilaya njoo na style nyingine hii imebuma vibaya mno,tamasha tuwekee kesho leo tunasikiliza sera na miongozo ya Mh Lissu mmekata umeme lakini haisaidii asilani.
View attachment 1554438
Atokee Mwanasiasa Wa Chama Chochote Kwenye Hii Mikutano Ya Kampeni,Asimame Jukwaani Kisha Aseme

WANANCHI WOTE MLIOKO HAPA UWANJANI, HEBU KILA MMOJA WENU ATOE SHILINGI ELFU 5 TU AIONYESHE JUU!

Kuna Uwezekano Wakawa Nayo Wachache Mno!

Hicho Ni Kipimo Tosha Cha Hali Zetu Ngumu

Anatokea mjinga mmoja anatuambia hali za maisha ya watu zimeimarika.
 
Mna hoja za kijinga sana na mnapotosha umma,jikiteni kueleza hoja achen propaganda pumbafu
simbastanzania_20200831_201353_0.jpg
 
Kamanda baadae utume picha wakiwa wanapitisha mabakuli kamanda.
Ninyi mnaringa kwa kuchota kwenye kibubu Cha taifa siyo! Ndio maana mlisimamisha nyongeza za mishahara ya wafanyakazi ili mdundulize za kufanyia kampeni! Mtazitapika tu ipo siku!
 
Back
Top Bottom