Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simu za nini bwashee!Nadhani ccm walichokiona leo arusha watapigiana simu
Hii Ni aibu Sana kwa Klabu ya Simba!Njama za kuhujumu ujio wa mh Lissu hapa bikini Arusha kuendeleza kampeini zake na cdm zimebuuma.
Ccm walijua kabisa kuwa mh Lissu ana washabiki na wapenzi wengi sana hapa Arusha na wengi wao ni vijana ambao wameichoka ccm.
Hivyo wakaona njia ya kuwa fanya wasiende kwenye mapokezi na mkutano wa mh Lissu ni kuandaa mechi ya kustukiza ya soka kati ya simba na Arusha fc.
Matokeo yake watu wamegoma kwenda uwanjani kutazama mpira ingawa wapo pia wapenzi wa simba lkn wameamua kwenda kumsikiliza rais wao mtarajiwa mh Lissu.
Nawapongeza sana wana wa Arusha.
Hiyo ndiyo hali halisi ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha. View attachment 1554386
Mkuu Leo niliamua kwenda nijiridhishe,Lisu ametisha nyomi hatari.CHADEMA picha zenu sio za kuamini hata siku moja. Mnapenda Sana kujifariji kuliko uharisia.
Mkuu sasa unategemea kama simba wenyewe wangekuwa na uamuzi gani zaidi ya kukubali maagizo ya mooooo?Hii Ni aibu Sana kwa Klabu ya Simba!
Vumilia tu japo inaumaCHADEMA picha zenu sio za kuamini hata siku moja. Mnapenda Sana kujifariji kuliko uharisia.
Msimpangie Mwamedi cha kufanya kwenye timu yake, ile ni timu yake na anampango wa kuibadilisha kutoka kuwa timu ya mpira na kuwa timu ya kusambaza bidhaa zake za juice za mikwaju mitaani!Dewji anachotatuta atakipata!
Simba wenyewe kama sio maagizo wangeenda kwa Lissu. Binafsi siwalaumu kwa kuwa wanafanya kazi kwa mujibu wa mikataba yao.Mkuu sasa unategemea kama simba wenyewe wangekuwa na uamuzi gani zaidi ya kukubali maagizo ya mooooo?
Upo sahihi kabisa mkuuSimba wenyewe kama sio maagizo wangeenda kwa Lissu. Binafsi siwalaumu kwa kuwa wanafanya kazi kwa mujibu wa mikataba yao.
Kwa maana ya kufanya maandalizi wamefanikiwa 100%, wenye shida ni waliotaka kuwatumia kufanikisha upuuzi wao ambao umefeli.
Picha utapata kama zoote kutoka ArushaLeta picha za mafuriko ya arusha
Mkutano wao leo haukubeba umati wa watu tofauti na walivyo kua wanajitapa hapa jukwaani.Wamefanya nini mkuu leta habari kamili
Ameacha kulaumu Yanga jana, je walihujumu mkutano wa segereaMsianze kutapatapa na huyo lissu wenu kwa kutafuta Huruma kwenye vilabu vyetu.
Kwani hata Kama wameweka kiingilio bure si nikwaajili ya Mashabiki wao wa Arusha, Wanahusiana na je na mikutano yenu?...
Kamanda uongo sio mzuri.Picha utapata kama zoote kutoka ArushaView attachment 1554631
Atokee Mwanasiasa Wa Chama Chochote Kwenye Hii Mikutano Ya Kampeni,Asimame Jukwaani Kisha AsemeWakuu Salamu toka Arusha na vitongoji vyake.
Uwanja wa Shekh Amri Abeid na tamasha uwanja wa Kilombero hakuna watu ni aibu tupu kama si fedhehea.
Wana Arusha wapo uwanja wa Relini wamejaa tele hakuna nafasi ya kutema mate.Hakuna nafasi ya kujigeuza wala kujinasi ni nyomi ya kutosha na kusikitisha kwa wenye hila na hiyana.
Mkuu wa Wilaya njoo na style nyingine hii imebuma vibaya mno,tamasha tuwekee kesho leo tunasikiliza sera na miongozo ya Mh Lissu mmekata umeme lakini haisaidii asilani.
View attachment 1554438
Ninyi mnaringa kwa kuchota kwenye kibubu Cha taifa siyo! Ndio maana mlisimamisha nyongeza za mishahara ya wafanyakazi ili mdundulize za kufanyia kampeni! Mtazitapika tu ipo siku!Kamanda baadae utume picha wakiwa wanapitisha mabakuli kamanda.