Uchaguzi 2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Ndg. Godbless Lema amelalamika kuwa CCM inawahujumu kwa kuandaa mechi ya Simba bila kiingilio na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu mkutano wa mgombea urais wa CHADEMA Ndg. Tundu Lissu.

Hata hivyo Lema ameapa kuwa leo ndio CCM watajua kwamba CHADEMA ni baba lao Arusha.

Lema amesema haya katika ukurasa wake wa Twitter.

My take: Kwani sehemu anayoenda Lissu ni lazima shughuli zisimame?

Maendeleo hayana vyama!
Arusha hakunaga [emoji230][emoji230] [emoji230] wengi kama dodoma kwenye [emoji230] wa ccm
 
Umesahau Chadema wamepiga marufuku bidhaa za Mo kwa sababu ya kumuunga mkono JPM? sasa Mo ni Simba unalalamika nini wacha iingie na utaona ujinga wa Chadema kufanya maamuzi bila kufikiria
Tumeona sote jana, watu wote waliungana na SIMB kumfurahisha mkandamizaji, CHADEMA walikosa watu kabisa
 
Tatizo nyie wana Siasa mnataka kuingiza siasa zenu kila, sehemu, watu waache kucheza mpira mjini, eti sababu kuna mkutano.
Jana tamasha la yanga Dar liliendelea, halikusimamisha, mikutano iliyofanyika Dar.
Muiambie TFF, ligi isinza basi mpaka, uchaguzi upite.

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Sheikh Abeid uwanja ni wa CCM, Simba hawakuwa na ratiba ya mechi nyingine ila wamelipwa na CCCM wabaki na kucheza bure ili mkutano wa "muujiza unaoishi" ukose watu, sasa m binu zimeshindikana, Lissu watu wamekwenda wakawaacha nyie wakandamizaji na wafurahiaji sijui mnafaidika na kitu gani
 
Sheikh Abeid uwanja ni wa CCM, Simba hawakuwa na ratiba ya mechi nyingine ila wamelipwa na CCCM wabaki na kucheza bure ili mkutano wa "muujiza unaoishi" ukose watu, sasa m binu zimeshindikana, Lissu watu wamekwenda wakawaacha nyie wakandamizaji na wafurahiaji sijui mnafaidika na kitu gani
Hao ni watu tu kimwili lkn roho zao ni sawa na chui au nyoka koboko
 
Acha udwazi mtoa mada. Watu wasifanye yao kisa Lissu.
Kuwa na adabu basi wewe, litaje kwa heshima jina la rais mtarajiwa mh Lissu.
FB_IMG_1595517384076.jpg
 
Kama kuna taarifa za ndani kuhusu hujuma hapo sawa.Ila kama ni kujisemea sababu kumekuwa na mechi huo ni ujinga. Shughuli lazima ziendelee na Simba wapo kazini AFC wapo kazini wanatafuta posho za wachezaji. Jana ACT imezindua kampeni na ilikuwa Yanga Day.
Yah! Pia kama ni kweli ikiwa Mo alileta siasa pale Benjamin Mkapa Stadium siku ya Simba Day! Halafu suala la Yanga na ACT hapo haliingii!!
 
Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Ndg. Godbless Lema amelalamika kuwa CCM inawahujumu kwa kuandaa mechi ya Simba bila kiingilio na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu mkutano wa mgombea urais wa CHADEMA Ndg. Tundu Lissu.

Hata hivyo Lema ameapa kuwa leo ndio CCM watajua kwamba CHADEMA ni baba lao Arusha.

Lema amesema haya katika ukurasa wake wa Twitter.

My take: Kwani sehemu anayoenda Lissu ni lazima shughuli zisimame?

Maendeleo hayana vyama!
Simba aibu walivuna hawatasahau
 
Ccm ni washamba sn wanambinu za kitoto na kilimbukeni wkt tupo kidigitally zaidi.....
Ningekua mm ndo mwenyekiti ningewafuta kazi polepole na Bashiru with immediate effect....

Makauzu sn haya majamaa.....

#MSICHEZE NA NGUVU YA UMMA
#WATZ WANATAKA MABADIRIKO
 
Back
Top Bottom