Godbless Lema: Hatupingi Uwekezaji Bandarini, ila Serikali irekebishe yanayopigiwa kelele na wananchi

Godbless Lema: Hatupingi Uwekezaji Bandarini, ila Serikali irekebishe yanayopigiwa kelele na wananchi

Tatizo ni kanisa katoliki kuhamasisha chuki za kidini sio jingine.
Are you brain-washed???
Kwani Viongozi wa Kanisa Katoliki walikuwa hawawapingi watawala wa kisiasa wa nchi hii ambao walikuwa Wakristo? Hukuona wakipinga wakati wa utawala wa Rais Magufuli (Mkristo Mkatoliki) ??? Ulikuwa husikii matamko ya kumpinga JPM??? Je, ulikuwa huoni au kusikia matamko ya kumpinga Rais Mkapa na Nyerere???
 
Watu wanapotosha tu hakuna anayepinga uwekezaji lqkini utaratibu wa kumpatq mwekezaji ufuatwe na mkataba uwe mzuri

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Tutajie hizo taratibu za uwekezaji ambazo zinazotakiwa zifuatwe unazozijua na ambazo huyo muarabu hajazifuata ili na sisi wengine tuwaunge mkono kwenye kuwakataa wajomba
 
Tatizo unachukua vichache vyenye mlengwa wa upande mmoja..,

sema pia kuwa kasema mkataba una mapungufu na serikali isitumie nguvu saanaa kuhusu huu mkataba, na pia isikilize ushauri wa raia na isiupuuze, siyo kuwapa nafasi wapiga sarakasi Bungeni kuja kuelimisha wananchi juu ya huu mkataba.
 
Lema hana u special wowote yeye ni maarufu kwasababu ya kuropoka kama msukuma.

Maneno hayo angetamka mwanasheria msomi TAL nisingekuwa na neno ila kwa Lema hapana maana sidhani kama hata hivyo vifungu vya sheria anavifahamu.
 
Kwani hawa ndiyo wawekezaji wa kwanza nchi hii?

Au ndiyo waarabu wa kwanza?

Hakuna aliyekataa wawekezaji.
 
Hakika chuki zenu haziwezi kamwe kujificha
Kanisa lina wanasheria wengi sana asilimia kubwa ya mapadre husomea sheria sio mapopoma kama upande wa wavaa kubazi wao wakisha kariri Quraan baasi wamemaliza.
Na itoshe tu kuwapima uelewa wa mambo hasa ukilinganisha kauli zao kati ya Kitima na Sheikh mkuu wa Bakwata
 
Back
Top Bottom