Mkuu,Tupe huo mkataba kama unao hapo. Kama hauna kaa kimya na msubiri mumeo tu.
Ungana na wengi kupinga mikataba ya hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Tupe huo mkataba kama unao hapo. Kama hauna kaa kimya na msubiri mumeo tu.
Are you brain-washed???Tatizo ni kanisa katoliki kuhamasisha chuki za kidini sio jingine.
Tutajie hizo taratibu za uwekezaji ambazo zinazotakiwa zifuatwe unazozijua na ambazo huyo muarabu hajazifuata ili na sisi wengine tuwaunge mkono kwenye kuwakataa wajombaWatu wanapotosha tu hakuna anayepinga uwekezaji lqkini utaratibu wa kumpatq mwekezaji ufuatwe na mkataba uwe mzuri
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Unapinga umeuona? Kuna siku TEC na CHADEMA waliwahi kuipongeza Serikali hasa Rais akiwa Muislam? Lini waliwahi kupongeza?Mkuu,
Ungana na wengi kupinga mikataba ya hovyo
Mkuu, achana na udini,Unapinga umeuona? Kuna siku TEC na CHADEMA waliwahi kuipongeza Serikali hasi Rais akiwa Muislam? Lini waliwahi kupongeza?
Kama ungekuwa na nia ya kuupinga ungejitokeza kwenye maandamano leo.Mkuu,
Ungana na wengi kupinga mikataba ya hovyo
Unamjua muislamu lakini?Unapinga umeuona? Kuna siku TEC na CHADEMA waliwahi kuipongeza Serikali hasi Rais akiwa Muislam? Lini waliwahi kupongeza?
Unajuaje kama sikuwepoKama ungekuwa na nia ya kuupinga ungejitokeza kwenye maandamano leo.
Walio kuwepo wote kwa sasa wako rumande.Unajuaje kama sikuwepo
Mkuu, umezifanya ni 🤣🤣🤣🤣saaana yaniWalio kuwepo wote kwa sasa wako rumande.
Kanisa lina wanasheria wengi sana asilimia kubwa ya mapadre husomea sheria sio mapopoma kama upande wa wavaa kubazi wao wakisha kariri Quraan baasi wamemaliza.
Na itoshe tu kuwapima uelewa wa mambo hasa ukilinganisha kauli zao kati ya Kitima na Sheikh mkuu wa Bakwata