dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Lema apeww maua yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote Kanisa Katoliki ndilo linawatoa watu kwenye ujinga tangu kale ipo hivyo.Tatizo ni kanisa katoliki kuhamasisha chuki za kidini sio jingine.
AAchna nao na hawawezi kukuonyesha hivyo vipengele. Jambo jema ni kuwa sasa lugha inaanza kubadilika toka kuuza nchi na tatizo sio mkatab.Vipengere gani? Huo mkataba unao?
Wanafanya spinning za kitoto sanaWatanzania hawapingi uwepo wa Wawekezaji wa kigeni hapa nchini, wanachopinga ni uwepo wa masharti/vipengele vibovu visivyofaa vya kuuza nchi vilivyopo ndani ya Mkataba wa uwekezaji. Wafuasi wa vyama vya siasa msipotoshe Jambo hili. tafadhali sana.
Hilo ndilo linalowasumbua, great thinker huyu eti!!Kama mwekezaji ni mwarabu kwangu ni Big No;
Kwani sera uwekezaji ni muwekezaji anufaishe mwenyeji, yeye apate hasara??Mwarabu kutoka Dubai akunufaishe wewe
Unasema? Wew ni kimaTatizo ni kanisa katoliki kuhamasisha chuki za kidini sio jingine.
Hii maada ni kubwa kwako, nenda kwenye Maada zamapenzi kule ndio levo yakoLabda keshaanza kula ugali badala ya burgers huyu mkimbizi wa kujitakia....[emoji16]
Wewe mwenye elimu ya maana unaweza kuta unashikiwa akili, kuna kitu una mzidi Lema? Lema akifa hata leo nchi nzima watajua, wewe zaidi ya Familia yako na ndugua zake nani mwingine atajua? Pita hiviHuyu lema na elimu yake ya hapa na pale sijui kama anaelewa kinachopingwa