Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani Mbowe akiwa nje ya nafasi ya mkt akawa mfadhili, Lissu akiwa mkt Kuna tatizo Gani hapo?
 
CHADEMA inanuka rushwa?
 
12b imetoka hazina,ni kodi zetu. Hata hayo mamia ya mamilioni anayogawa kwa matapeli kima bulldozer wa Kawe na yule Kuhani Moses juzi kapewa 100m zote ni kodi zetu
 
Kwanza turudi kwenye uhalisia wa costs za uchaguzi hao wajumbe wanapaa kwa rukuzu ya CDM wanayopata au kunahitajika external funding source ili uchaguzi ufanyike.

Pili ukiambiwa ulete hesabu za makusanyo ya (hadhara + ruzuku - wages - admin cost - election costs - other cost) sidhani kama unazo hizo info za ku-justify hoja yako.

Ni hivi mimi ninataka kuona upinzani unaoimarika na Lissu sio mtu sahihi; Mbowe kachelewa tu kutengeneza potential successor. Lakini Lissu hana leadership qualities.
 
.Lakini Lissu hana leadership qualities
 
Kwani Mbowe akiwa nje ya nafasi ya mkt akawa mfadhili, Lissu akiwa mkt Kuna tatizo Gani hapo?
Sometimes ‘axis of adults’ inabidi watoe opinion ya madhara ya maamuzi na wanapoweza zuia wanafanya hivyo.

Pasipo na uwezo wao it’s fate, Lakini Lissu plan zake ni zakufirika tu not game changer kwa sababu hana hiyo public support anayodhani (case study ni mikusanyiko ya mikutano yake baada ya kupewa kibali), worst ameonyesha sio team player and he lacks leadership skills.

Mengine ni ya wajumbe kuamua; hapa tunatoa opinion tu, Mbowe aandae warithi sasa; Lakini Lissu hana qualities za leadership.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…