Pre GE2025 Godbless Lema: Je, pesa za rushwa leo zinatoka wapi? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa kazi isiyo na mshahara?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwamba mtoto wa Mbowe akiandaliwa, aweza kuwa mrithi sahihi?
 
Kwamba mtoto wa Mbowe akiandaliwa, aweza kuwa mrithi sahihi?
Ajifunze kwa CCM, unajua hawa hakina Bashungwa, Mwigulu usione wapo tu huko juu. Wametengenezwa na pengine 60% ya mawaziri wao wamefika hapo kwa mtindo huo.
 
Na wewe utukome, nani akatae hela hii January? Wewe kila mwezi unavuta maelfu ya dola kutoka kwa wazungu kwa hifadhi ya ukimbizi.

Yaani baada ya mkutano nikiwa narudi nyumbani, lazima nipitie mifuko ya simenti na bati
Halafu oktoba ikifika atarudi kubahatisha ubunge huku familia take ikibakia Canada, akikosa atarudi Canada , akishinda ubunge atakaa nchini mguu mmoja na mguu mwingine Canada.

Hakika wajinga ndio waliwao.
 
Kwa lugha tu uliyoitumia katika kuwasilisha hoja yako, wewe siyo mzima. Afya yako ya akili ni muhimu sana, wahi matibabu, unaweza kuokoa afya ya akili yako.
 
Halafu oktoba ikifika atarudi kubahatisha ubunge huku familia take ikibakia Canada, akikosa atarudi Canada , akishinda ubunge atakaa nchini mguu mmoja na mguu mwingine Canada.

Hakika wajinga ndio waliwao.
Na kweli, inaonekana umeliwa sana.
 
Wewe unaona hivyo,lakini wanachama wanaona Lissu ndiye chaguo bora kupambana na aina ya siasa zinazoendeshwa na ccm kwa sasa,kwa sasa kupambana na CCM ni sawa na harakati za kudai uhuru,hawa watu wamegeuka kuwa makaburu weusi kwani ccm siyo chama cha siasa tena bali ni chama dola ,kupambana na CCM ni kupambana na serikali. Mbowe amefanya kazi nzuri iliyotukuka kwa wakati lakini kwa sasa tunahitaji approach tofauti kabisa. Anyway watakaloamua wajumbe ndiyo tutakwenda nalo na naamini baada ya uchaguzi Chadema itakuwa moja japo kuna kazi ya kutibu majeraha
 
Kwa lugha tu uliyoitumia katika kuwasilisha hoja yako, wewe siyo mzima. Afya yako ya akili ni muhimu sana, wahi matibabu, unaweza kuokoa afya ya akili yako.
Shukuru nakuheshimu ndio maana uwa hata si-blast post zako za ujinga unazoweka humu.

Or else ingekuwa balaa, maana uwa unaandika upuuzi na wewe; god knows.
 
Good morning 👋, till next time.
 
Kwa hizi wiki mbili zilizopita zimewapa picha halisi watanzania Kwamba wapinzani wetu hasa CHADEMA ni watu WA aina Gani, ni watu wenye tamaa ya madaraka na wanaonunulika kirahisi sana.

Kwakweli matumaini na imani ya watanzania Kwa CDM inazidi kupotea!!
 
Kwanini wanachama wanaruhusu Hilo jambo la ccm kumfadhili Mbowe ilihali inafahamika wazi lengo la ccm ni Nini Kwa CDM?
 
Bado wewe ni bare head,over 🤔🤔🚴🚴
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…