Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

TATIZO NI CCM.
Sio magufuli wala samia wala makamu wa rais ajae.
MATUMAINI YENU MNAYOJIPA NI HOPELESSS
 
wewe sasa hujui
huyu jamaa ni mtendaj haswa.hiv unajua ukitaka kuwa na sifa kubwa ya Jpm ni kufuatilia kila kitu na kupata taarifa ya kila jambo na kuamua hapo hapo hakuna cha michakatoo michakatooo tunachakataaaa sijui fisibiliti stadi sijui nini,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
Ina maana Profesa ana elimu lakini hana akili?
 
Jikite kwenye mada wewe
Mada IPI umeiona hapo?ukiamua kufanansha akili za MTU unafanansha za watu weng? Lema ana akili gani?wewe kila kitu cua upinzani unakichukua unaweka kwenye boxi lako lakuhifadhia meno.kama hukufukuzwa kwa vyeti feki,ni ndugu yako au mama yako.you are so bitter na sio uchungu was nchi.
 
Wachawi mmeanza sasa
Ccm Ina taratibu zake, haiwezi kupokea maelekezo toka kwa makada wa chadema
Miezi michache nyuma, Kabudi alikuwa anatukanwa na kukejeliwa
Mwenyekiti Magufuli Mungu amrehemu, alishatoa muelekeo wa chama namna ya kutoa viongozi baada ya uchaguzi wa 2020, mtu Kama kabudi, Lukuvi wanatupwa nje dimba sababu tu ya umri wao
Ni ushauri siyo maelekezo mkuu na ni kwa rais siyo kwa ccm
 
Hata Chalamila ikija kutokea akawa Rais tunakutegemea mzee dua na sala zako zitafanya kazi kwa hiyo hatuna wasiwasi
RC Chalamila, Paul Makonda, Lazaro Mambosasa, DC Ole Sabaya hakika watakufa vifo vibaya. Kama kuna ndugu zao wanasoma JF waaambie wakatubu.
 
Lema yupo sahihi. Hatuwezi kuendelea na huu utaratibu sijui kuangalia upande wa pili wa Muungano, kanda, dini au gender.

Hii scenario ya Rais kufia kwenye kiti iwe somo muhimu sana kwetu
 
Wachawi mmeanza sasa
Ccm Ina taratibu zake, haiwezi kupokea maelekezo toka kwa makada wa chadema
Miezi michache nyuma, Kabudi alikuwa anatukanwa na kukejeliwa
Mwenyekiti Magufuli Mungu amrehemu, alishatoa muelekeo wa chama namna ya kutoa viongozi baada ya uchaguzi wa 2020, mtu Kama kabudi, Lukuvi wanatupwa nje dimba sababu tu ya umri wao
Akili zenu misukule ya CCM ni za ajabu kweli. Hapo hiyo mifano hujaelewa,na hasa huo wa Kabudi. Hajamaanisha hivyo ulivyoelewa wewe tabularasa.
 
CCM busara ipo. Ndio maana Magufuli alimchagua Samia Suluhu Hassan kuwa makamamu wake

Kazi ingekua kama Tundu angekua ndio Magufuli leo halafu yule makamu wake ndio awe Samia 👣👣
Don't underrate uwezo wa Salum Mwalimu. Kuna mengi hujui kumhusu yeye Ila umeamua kusoma kitabu ukaishia kwenye cover tu.
 
Don't underrate uwezo wa Salum Mwalimu. Kuna mengi hujui kumhusu yeye Ila umeamua kusoma kitabu ukaishia kwenye cover tu.
Kwa taarifa yako tuu namjua Salum sanaaa, sio kwa kuambiwa bali kwa kuwa nae kwenye shughuli za kila siku kuanzia asubuhi hadi jioni zaidi ya miaka5

Na uelewe pia kwamba sijamdharau, ila kuwa makamu wa rais au rais wa jmt. Bado sana
 
Si ajabu Lema anatumika na wanaotaka umakamu.Lakini ni ajabu kabisa kwamba akina Lema leo wanaishauri CCM.Juzi tu Zito kasema alitoa mchango mkubwa kwa kushinikiza Samia akabidhiwe urais baada ya kubaini kuna njama kufanya kinyume cha katiba.
Uongo wa namna hii haukubaliki kabisa.Yaani CCM ifanye maamuzi kwa shinikizo la Zito!!!
Inawezekana kabisa... Maana wamechanganyikiwa kabisa..
 
"Elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango" majalalani mfano safi kabisa.
Lema umetisha✌🏽✌🏽✌🏽
 
Back
Top Bottom