Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Ambaye hayupo na lake halipo.
Wachawi mmeanza sasa
Ccm Ina taratibu zake, haiwezi kupokea maelekezo toka kwa makada wa chadema
Miezi michache nyuma, Kabudi alikuwa anatukanwa na kukejeliwa
Mwenyekiti Magufuli Mungu amrehemu, alishatoa muelekeo wa chama namna ya kutoa viongozi baada ya uchaguzi wa 2020, mtu Kama kabudi, Lukuvi wanatupwa nje dimba sababu tu ya umri wao
 
Ninamfananisha Chalamila na mchungaji Al Sharpton, huyu bwana alimlaumu Tiger Woods kuwa na affairs na white women na kuwalipa compassions. Angekua na affairs na black women hii hela ingewainua. Yaani anaongea bila kujali madhara ya kauli yake. I
 
Si ajabu Lema anatumika na wanaotaka umakamu.Lakini ni ajabu kabisa kwamba akina Lema leo wanaishauri CCM.Juzi tu Zito kasema alitoa mchango mkubwa kwa kushinikiza Samia akabidhiwe urais baada ya kubaini kuna njama kufanya kinyume cha katiba.
Uongo wa namna hii haukubaliki kabisa.Yaani CCM ifanye maamuzi kwa shinikizo la Zito!!!
 
Mnafki ni yule aliekimbia madeni kisha akasingizia anataka kuuwawa.
Hujui maana ya unafiki kukimbia deni sio unafiki, unafiki (hypocrisy), mnafiki ni mtu anayejua kabisa hili jambo sio sahihi lina madhara lkn bado analifanya, kutenda jambo kinyume na dhamiri ya moyo wako, ref. Kabudi, Bashiru, Polepole.
 
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
"" elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango"""ahaaaa
 
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
Ila CHADEMA! Kuizungumzia Serikali haitoshi sasa mnaanza kutaka kuwapangia na Chama kingine
 
Hujui maana ya unafiki kukimbia deni sio unafiki, unafiki (hypocrisy), mnafiki ni mtu anayejua kabisa hili jambo sio sahihi lina madhara lkn bado analifanya, kutenda jambo kinyume na dhamiri ya moyo wako, ref. Kabudi, Bashiru, Polepole.
Akuna mnafki mkubwa kumzidi Lema,aitambui serikali lakini anakiherehere cha kujifanya anaishauri.
Huu ni unafki wa kiwango cha Covid-19.
 
Lema akili kubwa, bahati mbaya sana tunapelekewa wanaoweza kupiga push ups nyingi mbele ya hadhara
 
Hata Chalamila ikija kutokea akawa Rais tunakutegemea mzee dua na sala zako zitafanya kazi kwa hiyo hatuna wasiwasi
wewe sasa hujui
huyu jamaa ni mtendaj haswa.hiv unajua ukitaka kuwa na sifa kubwa ya Jpm ni kufuatilia kila kitu na kupata taarifa ya kila jambo na kuamua hapo hapo hakuna cha michakatoo michakatooo tunachakataaaa sijui fisibiliti stadi sijui nini,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe sasa hujui
huyu jamaa ni mtendaj haswa.hiv unajua ukitaka kuwa na sifa kubwa ya Jpm ni kufuatilia kila kitu na kupata taarifa ya kila jambo na kuamua hapo hapo hakuna cha michakatoo michakatooo tunachakataaaa sijui fisibiliti stadi sijui nini,

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ni Magufuli ndie aliyemdanganya atuambie kuwa Bia mbili zinatibu corona
 
Kwan utawala umebadilika?
Acheni kujidanganya ,as long as ccm inatawala,msitegemee chochote
Bashiru yupo,Ndugai yupo,majaliwa yupo,Mwinyi yupo,kikwete yupo Mangula yupo,Samia ndio yule yule aliewasulubu kwenye bunge la Katiba,nawaangalia tu,muda si mrefu mtaanza kumtukana,hata kwa Magufuli mwanzo mlisema anaiga Sera zenu,mkaishia kunywa mvinyo kushangilia kifo chake
Nakubaliana na wewe kuwa utawala haujabadilika kwa sababu instruments of power (polisi, mahakama, diplomacy, uchumi, nk) alizokuwa anatumia Magufuli bado ni zile zile, pamoja na nia nzuri ya mama kuhubiri maridhiano lkn atapata tabu sana kupambana na mfumo.
 
Rc mbeya na aliyekuwa mbunge wa mbeya mjini nan bora?
 
Back
Top Bottom