Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,439
- 5,612
Umenena kweli iliyo tupu mkuu!Wee pumba kweli! Sidhani kama umeelewa kilichoshauriwa. Au, ulivyosoma tu jina la aliyetoa ushauri, basi umekurupuka na kuandika ulichoandika. Usitishwe na RANGI YA KITABU. Soma maandishi yaliyoandikwa ndani!