Tuombe kigogo nabii Eliya Mungu ampe maisha marefu maana spana zake ni lzm ukate moto.Hata Chalamila ikija kutokea akawa Raisi tunakutegemea mzee dua na sala zako zitafanya kazi kwa hiyo hatuna wasiwasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe kigogo nabii Eliya Mungu ampe maisha marefu maana spana zake ni lzm ukate moto.Hata Chalamila ikija kutokea akawa Raisi tunakutegemea mzee dua na sala zako zitafanya kazi kwa hiyo hatuna wasiwasi
Nabii Lema ajawahi tuangushaPokeeni ushauri...
Wee pumba kweli! Sidhani kama umeelewa kilichoshauriwa. Au, ulivyosoma tu jina la aliyetoa ushauri, basi umekurupuka na kuandika ulichoandika. Usitishwe na RANGI YA KITABU. Soma maandishi yaliyoandikwa ndani!Wachawi mmeanza sasa
Ccm Ina taratibu zake,haiwezi kupokea maelekezo toka kwa makada wa chadema
Miezi michache nyuma,kabudi alikuwa anatukanwa na kukejeliwa
Mwenyekiti Magufuli Mungu amrehemu,alishatoa muelekeo wa chama namna ya kutoa viongozi baada ya uchaguzi wa 2020,mtu Kama kabudi,lukuvi wanatupwa nje dimba sababu tu ya umri wao
Yaani watu wenye vichwa modeli ile ni pasua kichwa sana kama yule NW aliyemuombea boss wake apate CoronaNimependa huo mfano wa RC wa Mbeya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haswaa,Lema anamapenzi na CCM.Pokeeni ushauri...
Ni kweli kabisa huo ujinga wa kujifanya hamuwezi kushauriwa na asiye wa upande wenu ndio ulio wafanya leo mnalia lia kumzika mungu wenu mliye mtengenezaWachawi mmeanza sasa
Ccm Ina taratibu zake,haiwezi kupokea maelekezo toka kwa makada wa chadema
Miezi michache nyuma,kabudi alikuwa anatukanwa na kukejeliwa
Mwenyekiti Magufuli Mungu amrehemu,alishatoa muelekeo wa chama namna ya kutoa viongozi baada ya uchaguzi wa 2020,mtu Kama kabudi,lukuvi wanatupwa nje dimba sababu tu ya umri wao
[emoji23][emoji23]Kuna watu Wana misemo aiseeProf Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu Bila akili ni sawa na Choo Bila mlango.
Mteuaji mwenyewe lilikuwa tatizo kwa taifaCCM busara ipo. Ndio maana Magufuli alimchagua Samia Suluhu Hassan kuwa makamamu wake
Kazi ingekua kama Tundu angekua ndio Magufuli leo halafu yule makamu wake ndio awe Samia 👣👣
U-turn 360°Ushauri wa Lema ni kuntu sana!
Elimu bila akili......!
Ana mapenzi na Tanzania. Tanzania kwanza vyama baadae ndiyo mpango mzima.Haswaa,Lema anamapenzi na CCM.
Anasogeasogea tartiiibu.
Toka alipo twaliwa malaika wenu mkuu na mungu wenu mtawala wa milele.Toka lini CDM wameanza kuishauri CCM !!???
Kwan we hujawahi kufiwa ukalia?Ni kweli kabisa huo ujinga wa kujifanya hamuwezi kushauriwa na asiye wa upande wenu ndio ulio wafanya leo mnalia lia kumzika mungu wenu mliye mtengeneza
Ushauri wa Lema ni wa kuijenga zaidi CCM!U-turn 360°
Yaani Lema anaishauri ccm!Wee pumba kweli! Sidhani kama umeelewa kilichoshauriwa. Au, ulivyosoma tu jina la aliyetoa ushauri, basi umekurupuka na kuandika ulichoandika. Usitishwe na RANGI YA KITABU. Soma maandishi yaliyoandikwa ndani!
Dah mwenyewe mbavu zangu hapa jamani khaa! Lema kiboko aisee.Elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango by Godbless Lema
Nimecheka sana!