Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Wachawi mmeanza sasa
Ccm Ina taratibu zake, haiwezi kupokea maelekezo toka kwa makada wa chadema
Miezi michache nyuma, Kabudi alikuwa anatukanwa na kukejeliwa
Mwenyekiti Magufuli Mungu amrehemu, alishatoa muelekeo wa chama namna ya kutoa viongozi baada ya uchaguzi wa 2020, mtu Kama kabudi, Lukuvi wanatupwa nje dimba sababu tu ya umri wao
Utawala uliopita mlidhalau sana ushauri wa watu mkajikuta nyie ni miungu watu, mmemsababishia matatizo makubwa kiongozi wa Nchi kwakumshauri kinafiki na roho zenu mbaya ili mtuibie huku mkiimba mapambio yakinafiki, Nchi hii kila mmoja ana haki yakutoa na kumshsuri kiongozi acheni roho za kishetani.
 
Tubadilishe katiba haraka pia.

Kwa jinsi ilivyo, ni rahisi sana kupata VP ambaye muda wote "anaombea" Rais aliyepo madarakani "akufe". Na anaweza kwenda mbali zaidi ya " kuombea" tu....akapanga "mipango" pia! Au hata watu wake ambao wanajua VP akiwa Rais watafaidika.

Sisemi hili limetokea, lakini katiba yetu inatoa hiyo nafasi. Na corona hii....

Bado natafakari ule uzi wa Nyani Ngabu , "Fixed ?"

Napita tu....
 
Kumbe huwa mnatambua hilo mkuu. Sasa mbona huwa mnanuna nuna na kuzira kama mwanamke aliyeletewa mke mwenza
Kwani CHADEMA ndio inaunda serikali? Ushauri wake ni mzuri kwakuwa mtu akishakuwa RAIS anakuwa ni wa wote na si RAIS wa CCM pekee. Hivyo huu ushauri alioutoa sidhani kama umekaa kinafiki isipokuwa tu umetolewa na mtu mwenye mlengo tofauti na CCM. Hiyo ndio shida.
 
Hahahaaaa..... Rc wa Mbeya tena, yule yule Chalamila??!!!![emoji15]
 
Mama 2025 ata akichukua fomu anapigwa na chini bila ya wasiwasi. Tanzania aongoze Mzanzibar na Zanzibar aongoze mzanzibari. Haiwezekani hii kwa CCM. This time ni emergency tu. Inatakiwa kipindi ichi Zanzibar ineemeke na maamuzi magumu yafanywe na mama Samia uku akiwa na sapoti ya Mwinyi lakini haitakuwa ivo.
 
Haya bwana sisi wengine sijui tutakimbilia wapi maana wengine walishaenda kuandaa makao huko ulaya hata wakirudi tanzania ..kikinuka tu wanapanda pipa haooooo
 
Sasa Lema anashauri kama nani mana hata serikali iliyopo madarakani hawatambui uhalali wake, Kweli ukiona Choo ndotoni hupaswi kukitumia, Huu ushauri ni trash Ccm ni strongest institute kupata kutokea tangu taifa ili lianzishwe ndio taaisi iliyo sheheni experts wa kila namna, Lema atulie sasa wajipange 2025 kuliko kuelekeza nguvu kushauri taasisi imara kama ccm
Take it or leave it.
 
Kwa kweli nakubaliana na Lema:

Mtu kama Chalamila, hana sifa hata ya kuwa Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa. Aliipata nafasi hiyo kwa vile marehemu alionekana kuwapenda zaidi vichaa kuliko wazima. Yeye mwenyewe aliwahi kutamka, 'nimekuteua wewe Mpina kwa sababu wewe ni kichaa kama mimi'.

Mtu kama Kabudi, nimewahi kunena mara kadhaa, hana faida kwa Taifa. Alichangia sana kumpotosha Magufuli, na ameshiriki kwa kiasi kikubwa kuua uwekezaji nchini, japo wajinga wanadanganywa eti ni mzalendo sana.

Kabudi ni mbishi na arrogant, lakini hakuna anachokijua kwenye diplomasia wala uchumi. Masomo yaliyompa uprofessor ni Familiy Law yaani mirathi na ndoa. Hili ni eneo ambalo kwa wale wanasheria, huwa wanasoma wenye uwezo mdogo, ni sawa na kule shule ya msingi zamani kulikuwa na somo la sayansikimu, mnafundishwa kupika na kupiga pasi nguo.

Mama Samia akitaka aibadilishe nchi hii kuipeleka kwenye maendeleo ya kweli awaondoa viongozi wote ambao ni vichaa, wajinga na wanafiki na wale walioteuliwa kwa misingi ya ukabila, undugu na ukanda, na siyo uwezo wao, kama vile:
Kabudi
Chalamila
Mwigulu
Jafo
Sabaya
Kalemani
Doto wa Fedha
Biswalo Mganga
Elias Kwandikwa
Hapi
Kitila Mkumbo

Waziri wa uwekezaji, anahitajika mtu mwenye uwezo mkubwa, exposure ya masuala ya uchumi na uwekezaji, maana uwekezaji ni maeneo ambayo uongozi wa marehemu, uliua kabisa. Ni katika kipindi chake, tuliwapoteza wawekezaji wakubwa wa kimataifa kwenye sekta ya gas na madini, mpaka kuifanya Tanzania kwa sasa kufikia kuwa ndiyo nchi inayoongoza duniani kuwa na mazingira mabaya ya uwekezaji kwenyenmaeneo hayo. Hakuna mwekezaji wa kimataifa anayetaka kuja Tanzania. Wamejitahidi kuwabembeleza wawekezaji wa gas warudi, lakini hakuna mafanikio ya wazi.

Tunahitaji waziri wa sheria na katiba mwenye akili timamu, siyo mropokaji na mnafiki kama huyu wa sasa. Sheria za nchinzina uwezi wa kuua uchumi na uwekezaji.
 
Sasa Lema anashauri kama nani mana hata serikali iliyopo madarakani hawatambui uhalali wake, Kweli ukiona Choo ndotoni hupaswi kukitumia, Huu ushauri ni trash Ccm ni strongest institute kupata kutokea tangu taifa ili lianzishwe ndio taaisi iliyo sheheni experts wa kila namna, Lema atulie sasa wajipange 2025 kuliko kuelekeza nguvu kushauri taasisi imara kama ccm
Uimara wa CCM upo kwenye uovu na siyo weledi. CCM inaungwa mkono na watu wajinga (TWAWEZA).
 
Utawala uliopita mlidhalau sana ushauri wa watu mkajikuta nyie ni miungu watu, mmemsababishia matatizo makubwa kiongozi wa Nchi kwakumshauri kinafiki na roho zenu mbaya ili mtuibie huku mkiimba mapambio yakinafiki, Nchi hii kila mmoja ana haki yakutoa na kumshsuri kiongozi acheni roho za kishetani.
Kwan utawala umebadilika?
Acheni kujidanganya ,as long as ccm inatawala,msitegemee chochote
Bashiru yupo,Ndugai yupo,majaliwa yupo,Mwinyi yupo,kikwete yupo Mangula yupo,Samia ndio yule yule aliewasulubu kwenye bunge la Katiba,nawaangalia tu,muda si mrefu mtaanza kumtukana,hata kwa Magufuli mwanzo mlisema anaiga Sera zenu,mkaishia kunywa mvinyo kushangilia kifo chake
 
Back
Top Bottom