Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe una ubinadamu au ni shetani?Na hivi amekamatwa, mtasingizia mengi sana. Msiba wa baba mdogo (babu) wa mbowe badala la kutaja hata jina la aliyekufa ety mnakolezea kusema baba mdogo wa mbowe ili tuu watu waone serikali mbaya
Kwani serikali sio mbaya?Na hivi amekamatwa, mtasingizia mengi sana. Msiba wa baba mdogo (babu) wa mbowe badala la kutaja hata jina la aliyekufa ety mnakolezea kusema baba mdogo wa mbowe ili tuu watu waone serikali mbaya
Kila kitu kina sura mbili, tatizo la chadema sasa hv ikitokea jambo baya fulani bc watalazimisha ionekane serikali imesababisha.Kwani serikali sio mbaya?
Andamana kupinga hayoHivi wewe una ubinadamu au ni shetani?
Mwanadamu mwenye utu utaungaje mkono udhalimu na uonevu wa namna hii?
Wewe ni katili tu kama makatili wenzako, huna chembe ya utu wala ubinadamuAndamana kupinga hayo
Huwezi kuelewa uchungu wa kuonewa mpaka yakukute.Mbona anapiga kelele akiwa nje?
Haya maneno kaiulize familia ya Chacha Wangwe.Hivi wewe una ubinadamu au ni shetani?
Mwanadamu mwenye utu utaungaje mkono udhalimu na uonevu wa namna hii?
Mkuu mbona mnasahau mapema!Hivi wewe una ubinadamu au ni shetani?
Mwanadamu mwenye utu utaungaje mkono udhalimu na uonevu wa namna hii?
Familia ya chacha Wangwe haijawahi kushitaki mahali popote kufanyiwa lolote bayaHaya maneno kaiulize familia ya Chacha Wangwe.
Hivi vi hasira vyako vya kipuuzi utasababisha wakunyonye mavi wakati huna uwezo wa kuuwa hata kuku.Serikali ya ccm ni kundi la kigaidi hatari kuliko IS au al qaeda! Hawa watu tunaanza nao kesho, watasikilizia yatakayowakuta wao si wameamua kufanya uhuni sisi tutanywesha mapanga yetu damu zao
Kesho ipi hiyo.? Kila siku ety tunandamana lkn hakuna lolote, tulia kwenu usije kuwapa shida wazazi wako, acha kujifanya una uchungu na watu wasiokujuaSerikali ya ccm ni kundi la kigaidi hatari kuliko IS au al qaeda! Hawa watu tunaanza nao kesho, watasikilizia yatakayowakuta wao si wameamua kufanya uhuni sisi tutanywesha mapanga yetu damu zao