JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Weka ushahidi wa ugaidi wa Mbowe,acha kujamba jambaMbowe angefanya siasa za kistaarabu kama wenzake kina Mbatia, Lipumba n.k yasinge mkuta haya ya ugaidi, ila Mbowe ana uchu na tamaa ya uongozi hivyo kutokana na uchu wake kaamua kutumia njia zisizo faa za kigaidi na umafia.
uongozi hautafutwi kwa kupanga njama na kuuwa watu wengine kisa uanatafuta uongozi sasa yamemtokea puani.