Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Huyo magufuli alikufa mapema kwasababu ya ushetani wake.
Kwa hiyo na Kaka yake Mbowe kafa mapema sababu ya Ushetani wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo magufuli alikufa mapema kwasababu ya ushetani wake.
Nilikuwa nakufatiliaga Siku za nyuma nkijua in kichwa Ila nikipokuja kugundua kuwa niemptyheadednkakuignoremazima.
AndamanaKajifunze kwanza kuandika buku saba yako ya unafiki na kujipendekeza bado ipo
Natural death [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Andamana
Duh!Tanzania haina mahakama wala Bunge katika Tafsiri zinazojulikana kimataifa, bali tuna idara za Serikali zinazotumiwa na Serikali kama Mahakama na Bunge.
Wewe mtoto wa mwanamke Malaya,funga bakuli lako, jingaman weweNa hivi amekamatwa, mtasingizia mengi sana. Msiba wa baba mdogo (babu) wa mbowe badala la kutaja hata jina la aliyekufa ety mnakolezea kusema baba mdogo wa mbowe ili tuu watu waone serikali mbaya
Mkuu hilo ni toto la mwanamke malaya na msimbe, hakuna Binadamu mwenye utu anayeweza kuwa katili Kama hili juha la CCMHivi wewe una ubinadamu au ni shetani?
Mwanadamu mwenye utu utaungaje mkono udhalimu na uonevu wa namna hii?
Uliwahi kufikiria hata siku moja kuwa Magufuli hatafika 2025?Andamana kupinga hayo
Tuliza mshono wewe awamu hii hakuna teuzi za kimalaya malaya kama alivyokuwa anafanya yule dhalimNa hivi amekamatwa, mtasingizia mengi sana. Msiba wa baba mdogo (babu) wa mbowe badala la kutaja hata jina la aliyekufa ety mnakolezea kusema baba mdogo wa mbowe ili tuu watu waone serikali mbaya
Kwani uongo,usitetee udhalimKila kitu kina sura mbili, tatizo la chadema sasa hv ikitokea jambo baya fulani bc watalazimisha ionekane serikali imesababisha.
Ila nakumbuka watu walipinga humu walisema walioachiwa huru hawakuachiwa kwa nguvu za Mama walishinda kesi au kesi zao zilikosa ushahidiHizi mahakama zinacheza ngoma ya mtawala, akitaka zitende haki zinatenda haki, akiamua asitende haki nazo zinaenda katika mwelekeo huohuo!.
Ndiyo maana siku za mwanzo za utawala wa Samia watu walimpngeza yeye pindi mahakama ilipokuwa inaachia watu badala ya kuipongeza mahakama
Hata wanao ongoza ni wahuni.Mbowe angefanya siasa za kistaarabu kama wenzake kina Mbatia, Lipumba n.k yasinge mkuta haya ya ugaidi, ila Mbowe ana uchu na tamaa ya uongozi hivyo kutokana na uchu wake kaamua kutumia njia zisizo faa za kigaidi na umafia.
uongozi hautafutwi kwa kupanga njama na kuuwa watu wengine kisa uanatafuta uongozi sasa yamemtokea puani.