Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Ana tuhuma za ugaidi...mahakama itaamua.Hivi wewe una ubinadamu au ni shetani?
Mwanadamu mwenye utu utaungaje mkono udhalimu na uonevu wa namna hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana tuhuma za ugaidi...mahakama itaamua.Hivi wewe una ubinadamu au ni shetani?
Mwanadamu mwenye utu utaungaje mkono udhalimu na uonevu wa namna hii?
Magufuli katangulia mbele ya haki, kufa ni wajibu wa kila mtu.Mkuu mbona mnasahau mapema!
Mliposhangilia kifo cha Magufuli mlikua sokwe? hamkua Bin aadamu?
Hili liwe funzo kwetu sote.
Damu ya Chacha Wangwe ndio inayotafuta haki yake. Imekuwa inamlilia Mbowe na this time hadi makengeneza yanyooke.Familia ya chacha Wangwe haijawahi kushitaki mahali popote kufanyiwa lolote baya
Kwa kichekesho kingine kama hiki tubonyeze ngapi.?Magufuli katangulia mbele ya haki, kufa ni wajibu wa kila mtu.
Kisichowajibu ni kuonea watu, na kusingizia watu mambo ya uongo ili kuwanyanyasa
Lakini mahakama ndio ina mandate ya kutoa hukumu kwamba anasingiziwa au ni kweliMagufuli katangulia mbele ya haki, kufa ni wajibu wa kila mtu.
Kisichowajibu ni kuonea watu, na kusingizia watu mambo ya uongo ili kuwanyanyasa
Mahakama za Tanzania ni rahisi kuwa manipulated kwa sababu Serikali kupitia DPP ina mkono mrefu ndani ya mahakama zetu.Lakini mahakama ndio ina mandate ya kutoa hukumu kwamba anasingiziwa au ni kweli
Wewe umepata wapi mandate hiyo mkuu?
Unaweza kua sahihiMahakama za Tanzania ni rahisi kuwa manipulated kwa sababu Serikali kupitia DPP ina mkono mrefu ndani ya mahakama zetu.
Ndiyo maana tunapambana ili kupata katiba nzuri ili mahakama iwe huru kwelikweli
Nilikuwa nadhani watu wanaokuwa verified Jamii forum ni smart kumbe ni hopeless tu.Andamana kupinga hayo
Mpare mjinga Kama wewe sijawahi kuona hayo anayosema lema ni uongo? Eti serikali mbaya ni mbaya kweli Kama serikali inauwa watu hovyo inauwa wanasiasa wanasiasa wanapigwa risasi serikali inasingizia watu kesi stupid kabisa. Serikali Kama hii inakuwaje nzuri? Ccm ni genge la wahuni na wameshamfix mama wanamharibia mama Kama walivyomharibia magufuli.Na hivi amekamatwa, mtasingizia mengi sana. Msiba wa baba mdogo (babu) wa mbowe badala la kutaja hata jina la aliyekufa ety mnakolezea kusema baba mdogo wa mbowe ili tuu watu waone serikali mbaya
Hizi mahakama zinacheza ngoma ya mtawala, akitaka zitende haki zinatenda haki, akiamua asitende haki nazo zinaenda katika mwelekeo huohuo!.Unaweza kua sahihi
Lakini mahakama hizi hizi ndio mlizozisifia zilipoondoa makosa ya viongozi wenu
Mlisifia pia ziliposhughulika na kesi za sabaya
Hii sio double standard?
umeona eeh, endeleeni kushabikia udikteta, tena verified member.Na hivi amekamatwa, mtasingizia mengi sana. Msiba wa baba mdogo (babu) wa mbowe badala la kutaja hata jina la aliyekufa ety mnakolezea kusema baba mdogo wa mbowe ili tuu watu waone serikali mbaya
Mpare mjinga Kama wewe sijawahi kuona hayo anayosema lema ni uongo? Eti serikali mbaya ni mbaya kweli Kama serikali inauwa watu hovyo inauwa wanasiasa wanasiasa wanapigwa risasi serikali inasingizia watu kesi stupid kabisa. Serikali Kama hii inakuwaje nzuri? Ccm ni genge la wahuni na wameshamfix mama wanamharibia mama Kama walivyomharibia magufuli.
Nilikuwa nadhani watu wanaokuwa verified Jamii forum ni smart kumbe ni hopeless tu.
Tunaenda na nyie taratibu tuu mpaka mtaelewa show tuuumeona eeh, endeleeni kushabikia udikteta, tena verified member.
Ya mbowe kuwa gaidi ni uongo wa mchana kweupe he waliompiga lissu risasi ndio njia iliyofaa? Mnazidi kuongezewa ushahidi haya kalemani alimpigia mkewe simu watoe CCTV cameras kwenye tukio la mbowe je nyie sio magaidi?Mbowe angefanya siasa za kistaarabu kama wenzake kina Mbatia, Lipumba n.k yasinge mkuta haya ya ugaidi, ila Mbowe ana uchu na tamaa ya uongozi hivyo kutokana na uchu wake kaamua kutumia njia zisizo faa za kigaidi na umafia.
uongozi hautafutwi kwa kupanga njama na kuuwa watu wengine kisa uanatafuta uongozi sasa yamemtokea puani.
Walipiga manyanga kifo cha Hayati Magufuli, wakamuita mwenda zake. Lazima Waelewe Kifo ni cha kila binaadamu. Kila mtu ana siku yake. Hii ni kuwakumbusha Kifo kinampata mtu yeyote yule siku ikifika. Kuna wafungwa wengi wana ndungu wamekufa na bado wamo gerezani, dunia nzima. Mbowe na Tundu Lissu wanajifanya ni Watanzania kushinda Watanzania wengine.Na hivi amekamatwa, mtasingizia mengi sana. Msiba wa baba mdogo (babu) wa mbowe badala la kutaja hata jina la aliyekufa ety mnakolezea kusema baba mdogo wa mbowe ili tuu watu waone serikali mbaya
Yani roho za ibilisi zilizowakaa zinashangaza SanaTunaenda na nyie taratibu tuu mpaka mtaelewa show tuu
Huyo magufuli alikufa mapema kwasababu ya ushetani wake.Walipiga manyanga kifo cha Hayati Magufuli, wakamuita mwenda zake. Lazima Waelewe Kifo ni cha kila binaadamu. Kila mtu ana siku yake. Hii ni kuwakumbusha Kifo kinampata mtu yeyote yule siku ikifika. Kuna wafungwa wengi wana ndungu wamekufa na bado wamo gerezani, dunia nzima. Mbowe na Tundu Lissu wanajifanya ni Watanzania kushinda Watanzania wengine.
Mbowe ni muhuni Na mufanya biashara mwizi. Yuko kwenye siasa kujenga na kuchunga biashara zake. Siasa ilimpa fulsa ya kutumia jengo la serikali kwa biashara zake kwa zaidi ya miaka 10 bila kodi ya jengo wala kodi ya mapato. Siasa inampa fulsa ya kuitwa muheshimiwa na heshima hana. Hawa ndiyo wanasiasa wanaofanya Africa kuwa masikini. Na sisi kama wajinga, wakitutapikia tunawapigia makofi. Lala salaama baba Magufuli. Ulituonyesha uongozi bora.Mbowe angefanya siasa za kistaarabu kama wenzake kina Mbatia, Lipumba n.k yasinge mkuta haya ya ugaidi, ila Mbowe ana uchu na tamaa ya uongozi hivyo kutokana na uchu wake kaamua kutumia njia zisizo faa za kigaidi na umafia.
uongozi hautafutwi kwa kupanga njama na kuuwa watu wengine kisa uanatafuta uongozi sasa yamemtokea puani.
Wewe ni gaidi acha haki itendeke.Mbona anapiga kelele akiwa nje?