JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Weka ushahidi wa ugaidi wa Mbowe,acha kujamba jambaMbowe angefanya siasa za kistaarabu kama wenzake kina Mbatia, Lipumba n.k yasinge mkuta haya ya ugaidi, ila Mbowe ana uchu na tamaa ya uongozi hivyo kutokana na uchu wake kaamua kutumia njia zisizo faa za kigaidi na umafia.
uongozi hautafutwi kwa kupanga njama na kuuwa watu wengine kisa uanatafuta uongozi sasa yamemtokea puani.
Ndo maana mkaitwa wapinzani kuonyesha kwamba nyie ni kupinga kila kituKwani hii Serikali ya sasa ina uzuri gani?
Tanzania haina mahakama wala Bunge katika Tafsiri zinazojulikana kimataifa, bali tuna idara za Serikali zinazotumiwa na Serikali kama Mahakama na Bunge.Lakini mahakama ndio ina mandate ya kutoa hukumu kwamba anasingiziwa au ni kweli
Wewe umepata wapi mandate hiyo mkuu?
Dah unaongea upumbavu kama choko vile,Mbowe angefanya siasa za kistaarabu kama wenzake kina Mbatia, Lipumba n.k yasinge mkuta haya ya ugaidi, ila Mbowe ana uchu na tamaa ya uongozi hivyo kutokana na uchu wake kaamua kutumia njia zisizo faa za kigaidi na umafia.
uongozi hautafutwi kwa kupanga njama na kuuwa watu wengine kisa uanatafuta uongozi sasa yamemtokea puani.
Nilikuwa nakufatiliaga Siku za nyuma nkijua in kichwa Ila nikipokuja kugundua kuwa niemptyheadednkakuignoremazima.Kwa kichekesho kingine kama hiki tubonyeze ngapi.?
Ndo hvy mzee, unaweza kuta mtu fulani siku yake ya kufa ni kesho na leo ameshikiliwa bc akifa watasema ameuawa, yn utadhani wao wana ratiba ya wanaokufa. Kifo ni cha kila mtu.Walipiga manyanga kifo cha Hayati Magufuli, wakamuita mwenda zake. Lazima Waelewe Kifo ni cha kila binaadamu. Kila mtu ana siku yake. Hii ni kuwakumbusha Kifo kinampata mtu yeyote yule siku ikifika. Kuna wafungwa wengi wana ndungu wamekufa na bado wamo gerezani, dunia nzima. Mbowe na Tundu Lissu wanajifanya ni Watanzania kushinda Watanzania wengine.
Asante kwa kunifatilia, usisahau ku-like na ku-subscribe.Nilikuwa nakufatiliaga Siku za nyuma nkijua in kichwa Ila nikipokuja kugundua kuwa niemptyheadednkakuignoremazima.
Ili upige hela?.Asante kwa kunifatilia, usisahau ku-like na ku-subscribe.
Ndo hvy boss, naendelea kuwakera na moto ni uleule.Ili upige hela?.
Kajifunze kwanza kuandika buku saba yako ya unafiki na kujipendekeza bado ipoMbona hakuwahi kusema?
Mbona hawakumabia ajiepushe na uchochezi?
Sio kila MTU unaweza kumkera boss.kama unadhani kila mtu anayeongelea mambo ya demokrasia humu ni mpinzani your dead wrong.Ndo hvy boss, naendelea kuwakera na moto ni uleule.
Sasa kama imesababisha serikali unataka waseme kasababisha Mama yako ?Kila kitu kina sura mbili, tatizo la chadema sasa hv ikitokea jambo baya fulani bc watalazimisha ionekane serikali imesababisha.
Lipumba aliwahi kuvunjwa mikono yote miwili na serikali ya ccm je hizo zilikuwa siasa za kistaarabu ?Mbowe angefanya siasa za kistaarabu kama wenzake kina Mbatia, Lipumba n.k yasinge mkuta haya ya ugaidi, ila Mbowe ana uchu na tamaa ya uongozi hivyo kutokana na uchu wake kaamua kutumia njia zisizo faa za kigaidi na umafia.
uongozi hautafutwi kwa kupanga njama na kuuwa watu wengine kisa uanatafuta uongozi sasa yamemtokea puani.
Waseme amesababisha anayekukojozaSasa kama imesababisha serikali unataka waseme kasababisha Mama yako ?
Nmekuelewa bossSio kila MTU unaweza kumkera boss.kama unadhani kila mtu anayeongelea mambo ya demokrasia humu ni mpinzani your dead wrong.
huwezi kumfananisha Lipumba na Mbowe hata siku mmoja,Lipumba aliwahi kuvunjwa mikono yote miwili na serikali ya ccm je hizo zilikuwa siasa za kistaarabu ?
Mkuu mashetani tunaishi nao.Hivi wewe una ubinadamu au ni shetani?
Mwanadamu mwenye utu utaungaje mkono udhalimu na uonevu wa namna hii?
Hayo maumivu wanayataka wenyewe.Wewe ni katili tu kama makatili wenzako, huna chembe ya utu wala ubinadamu
Ni saddist unyefurahia maumivu ya wengine