Godbless Lema: Mtoto wa Simbachawene asikomolewe kwa sababu ya matakwa ya Baba yake

Godbless Lema: Mtoto wa Simbachawene asikomolewe kwa sababu ya matakwa ya Baba yake

Haha wabongo bwana sijui lini tutakua na misimamo yetu.

Asipokamatwa watasema akamatwe.

Akikamatwa utasikia aachiwe.

Nji ngumu sana hii.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Simbachawene alisema ashughulikiwee sasa mru atapandishwa mahakamani na file halijakamilikaa???? Au mnadhani mahakamani ni kama Unaenda chooni huyo Lema nae ni Mnafikii sanaa... Anajua huyo dogo amashtakiwa kwa kosa gani lingine ukiacha kosa barabarani??? Watanzania bhana kujikuta wanataka kusimamia haki wakati mwenyw mtoto kashasema kijana ashughulikiwee...
 
Mh Godbless Lema ambaye anatajwa pia kama miongoni mwa Manabii wa Mungu walioletwa Tanzania kwa makusudi Maalum , Amenukuliwa huko Twitter akipinga POLISI KUFANYA KAZI KWA MATAKWA YA SIMBACHAWENE .

Mh Lema anadai mpaka sasa mtoto wa Simbachawene aliyedaiwa kudharau vyombo vya dola angali anashikiliwa Selo , jambo ambalo Lema analitafsiri kama ni uvunjifu wa KATIBA YA NCHI NA SHERIA ZILIZOPO , amesikitishwa sana kwa Jeshi la Polisi kuifanyia kazi kauli ya Simbachawene badala ya PGO , Pamoja na Sirro kung'olewa lakini bado shida ziko palepale .

Ni kweli kwamba mtoto wa Simbachawene amekosea lakini Haki zake zinapaswa kulindwa , Kosa alilotenda lina dhamana , lakini hadi sasa bado yuko rumande kwa vile tu Polisi wanamsikiliza Simbachawene , Mtoto akishazaliwa ni Mali ya Nchi , Ndio maana huwezi kuua mwanao tukakuacha , ni lazima tukukamate .

Binafsi nampongeza Lema kwa jambo hili na kiukweli MTOTO WA SIMBACHAWENE ASHUGHULIKIWE KWA MUJIBU WA SHERIA NA SI KWA MATAKWA YA SIMBACHAWENE , tukiruhusu jambo hili tutakuwa Wajinga sana , Maana siku Simbachawene akisema mwachieni basi tutamuachia bila hata kufuata Taratibu .
Hao polisi waliambiwa wamshughulikie kwa mujibu wa sheria? Kumnyima dhamana ndiyo sheria?
 
Lema akamueekee dhamana. Baba kaamua kumfunza mtoto wake wewe unasema anakomolewa.
Na angekuwepo uraiani pia wangesema ni sababu ya mtoto wa waziri hakuna cha kumfanya,upinzani wamekuwa na hoja nyepesi za kuwapa kiki this round.
 
Huyu LEMA naona sasa amefilisika kifikra, yaani mzazi ameamua kumuadabisha mwanae halafu yeye anataka kuifanya ni ajenda ya kitaifa. HAKIKA HUU NI MSIBA MKUBWA. Nadhani inatakiwa tufike mahali tuwe na uwezo wa kutenganisha mambo ya kifamilia na maswala ya kitaifa.Kwani amejaribu yeye binafsi kama LEMA kwenda kumuwekea dhamana polisi wakamkatalia.
 
Na angekuwepo uraiani pia wangesema ni sababu ya mtoto wa waziri hakuna cha kumfanya,upinzani wamekuwa na hoja nyepesi za kuwapa kiki this round.
Ishu hapa wala si upinzani wala hoja zao... Ishu ni ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria!
 
Huyu LEMA naona sasa amefilisika kifikra, yaani mzazi ameamua kumuadabisha mwanae halafu yeye anataka kuifanya ni ajenda ya kitaifa. HAKIKA HUU NI MSIBA MKUBWA. Nadhani inatakiwa tufike mahali tuwe na uwezo wa kutenganisha mambo ya kifamilia na maswala ya kitaifa.Kwani amejaribu yeye binafsi kama LEMA kwenda kumuwekea dhamana polisi wakamkatalia.
Huwezi kumwadabisha mwanao kwa kuvunja sheria
 
Huwezi kumwadabisha mwanao kwa kuvunja sheria
Hakuna sheria iliyovunjwa, baba amewataka polisi kufanya kazi yao bila kujali kama ni mwanae, kwa maana ya kuchukua hatua kama ambavyo wangefanya kwa mtu mwingine yeyote yule aliyefanya makosa kama hayo, wala hakusema asipewe dhama, sasa kama LEMA ana uchungu sana si akamuwekee dhamana ndugu. Mnafeli wapi ndugu zangu.
 
Hakuna sheria iliyovunjwa, baba amewataka polisi kufanya kazi yao bila kujali kama ni mwanae, kwa maana ya kuchukua hatua kama ambavyo wangefanya kwa mtu mwingine yeyote yule aliyefanya makosa kama hayo, wala hakusema asipewe dhama, sasa kama LEMA ana uchungu sana si akamuwekee dhamana ndugu. Mnafeli wapi ndugu zangu.
Unafahamu kilichoandikwa ndani ya PGO kuhusu tuhuma zinazoruhusu dhamana ?
 
Mh Godbless Lema ambaye anatajwa pia kama miongoni mwa Manabii wa Mungu walioletwa Tanzania kwa makusudi Maalum , Amenukuliwa huko Twitter akipinga POLISI KUFANYA KAZI KWA MATAKWA YA SIMBACHAWENE .

Mh Lema anadai mpaka sasa mtoto wa Simbachawene aliyedaiwa kudharau vyombo vya dola angali anashikiliwa Selo , jambo ambalo Lema analitafsiri kama ni uvunjifu wa KATIBA YA NCHI NA SHERIA ZILIZOPO , amesikitishwa sana kwa Jeshi la Polisi kuifanyia kazi kauli ya Simbachawene badala ya PGO , Pamoja na Sirro kung'olewa lakini bado shida ziko palepale .

Ni kweli kwamba mtoto wa Simbachawene amekosea lakini Haki zake zinapaswa kulindwa , Kosa alilotenda lina dhamana , lakini hadi sasa bado yuko rumande kwa vile tu Polisi wanamsikiliza Simbachawene , Mtoto akishazaliwa ni Mali ya Nchi , Ndio maana huwezi kuua mwanao tukakuacha , ni lazima tukukamate .

Binafsi nampongeza Lema kwa jambo hili na kiukweli MTOTO WA SIMBACHAWENE ASHUGHULIKIWE KWA MUJIBU WA SHERIA NA SI KWA MATAKWA YA SIMBACHAWENE , tukiruhusu jambo hili tutakuwa Wajinga sana , Maana siku Simbachawene akisema mwachieni basi tutamuachia bila hata kufuata Taratibu .
Yaani maana siHasa akisema weka ndani Huyu !! Anawekwa ndani ! Kesho akisema mtoeni huyu anatolewa !! Sasa kuna haja gani ya kuwepo mahakama na mahakimu ?? Wana siHasa muache kutuburuta namna hii Sheria ifuatwe na ndio maana ile Rasimu ya katiba ya Warioba iwekwe mezani !!
 
Back
Top Bottom