Pre GE2025 Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Asante sana Lema kwa maono mazuri ya kujenga taasisi imara.
 
Ni hiari yake kama shida ni pesa zake sisi kama CHADEMA tunataka timu imara ambayo kila mtu anashiriki kuchangia.
 
Ni hiari yake kama shida ni pesa zake sisi kama CHADEMA tunataka timu imara ambayo kila mtu anashiriki kuchangia.
Ndivyo inavyopaswa kuwa. Sasa mtathibitisha kuwa mnaweza kukibeba chama chenu. Kama ambavyo mmeweza kumnunulia Lissu gari la kifahari.

Amandla...
 
Ndivyo inavyopaswa kuwa. Sasa mtathibitisha kuwa mnaweza kukibeba chama chenu. Kama ambavyo mmeweza kumnunulia Lissu gari la kifahari.

Amandla...
Mambo ya gari yametoka wapi wakati mada kuu ni uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA?
 
Mbowe ni kiongozi makini hivyo hawataki aaibike bali abaki na heshima aliyojijengea ndani ya chama
Atabaki na heshima baada ya kukachq ushindani? Heri apate kura moja kuliko hiyo heshima ya kinafik. Akijitoe hamtaacha kumsimanga kuwa amewaogopa. Kamtoeni kwenye ballot box na atabaki na heshima ya kuwa ameiishi demokrasia anayoitangaza.

Amandla..
 
Uwezo wa kukiendesha chama kwa michango yenu ni hoja kuu katika huu uchaguzi.

Amandla...
Sisi wanachama wa CHADEMA tumeona hivyo kuliko kuendelea kuikumbatia CCM ambayo haitupendi hata tone bora tuwe na mfumo wetu ambao utaamua mipango ya chi yetu pamoja na mustakabali wa nchi yetu bila kumkumbatia mtu mwenye uwezo wa kifedha hata kama anatupeleka shimoni.
 
Uko sahihi,mimi nilikuwa namwona Paschal Mayala ni mpotoshaji hasa pale alipokuwa anahamasisha Wabunge 19 wa viti maalum bungeni wakubaliwe na Chadema kumbe kuna mambo mengi ya siri siri alikuwa anayajua,Mungu ambariki sana.
Kama Wanataka Upinzani ulio na Walao Nguvu hata kwa 45% Wamchague Lisu
Sio kwamba Lisu Mzuri ila ni Bora ×10 zaidi ya Mbowe!
Kama Majani watapata Kiwewe Ni kuchaguliwa kwa Lisu kuwa Mwenyekiti
 
Hapo sasa.Akina Chiembe,Tlaahtlaah,MamaSmiah2025,ChoiceVariable,Lucas Mwashambwa,Mtoto wa Shule,Makupa nk.
 

Lissu anafaa kwa miaka mitano ijao aisaidie nchi ipate katiba mpya, tume huru. Hapo atakuwa ameliachia Taifa urithi mzuri.

Mbowe hiyo sio agenda yake kabisa kwa sasa yeye sera yake ni kuendelea na maridhiano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…